Jumbe Brown
JF-Expert Member
- Jun 23, 2020
- 12,077
- 12,786
Lini watanzania waliacha kujituma na kufanya kazi kwa bidii?!!!Toa uboya wengi wamekufa wangapi? Wewe kwenu mmekufa wangapi kwa corona wewe mbona hujafa kwa corona!!???,mwendazake alisistiza sana watanzania tufanye kazi kwa bidii tujitume na tuache uvivu na hiyo ndo siraha kubwa kwa mafanikio ya kuepukana na umasikini kuomna omba kunalemaza na kunaleta umasikini fullstop.
Ebu tuambie utajiri wa magufuli ni upi!? Pesa pembe la ng'ombe ukiwa nazo hazifichi .ukikutana na mtoto mdogo wa mjini gari la kampuni fulani ya mafuta inapopita utasikia hiyo ya ridhiwani...kampuni gani ulishaisikia ya magufuli au mtoto wake ina trend mjini kabla na baada ya kifo chake[emoji2957]Hizi ngonjera zako zilimshinda Nyerere akang'atuka urais akamwachia Mwinyi nchi iko hoi kiuchumi.
Naye yule chizi wa Chato akaja na skili za kijinga kama hizi.
Muelewe yule mama mkitaka awapeleke hivi mnavyotaka nyinyi mtakaoumia ni nyinyi, hakuna Rais anayeumia kutokana na nchi kuwa na hali ngumu.
Hata huyo Magufuli baba wa uwongo kama alivyo shetani hajawahi kuwa na maisha magumu tangu singie serikalini achilia mbali Urais, tena yeye ndio kufuru alikuwa anatembea na begi limejaa pesa, anamgawia anayejisikia yeye kumgawia siku hiyo na huku akiwahadaa na kuwadanganya wajinga wenzake kwamba watembee kifua mbele Tanzania ni tajiri kumbe yeye ndio tajiri, na hilo kundi la wajinga wenzake kina Abunuwasi hawa unakuta wengi hawana uhakika wa milo hata miwili tu.
Uwapige wazungu? Kinachofanyika ni wanakupa mikopo kwa riba kubwa na kwa masharti makubwa.Hao wazungu wali tupiga sana wana Gold Reserve nyingi ya Africa, ukipata nafasi wapige
Kwa akili zao wanadhani misaada ni bure tuuUnawapigaje mkuu! Hakuna msaada usio na malengo.
Ongera yako kwa kujua kuandika kiswahili fasaha na kuwa mshauri wa kiongozi wa nchi ambayo toka ijitawale bado inaangaika kutatua tatizo la maji ingawa maziwa yote makuu Afrika tunayoKuandika tu kiswahili fasaha hujui....utaweza kuwa na Weledi wa kumshauri kiongozi wa nchi ?!!! Khaaa 😲😲🤣
Wena mkuu andiko lako mantiki ndani yake lakini mkuu, Nchi zetu nyingi za kiafrika , bila misaada unafikili itakuaje , nafikili maneno YAKO angeyaongea pia laki lazima mataifa yaliyoendelea yatusaidie , maana wao pia ni chanzo Cha matatizo ayaWanabodi,
Kama mtanzania, inawezekana umepata nafasi kufuatilia yanayojiri nchini Scotland kwenye mkutano unaohusu mabadiliko ya tabia nchi. Mkutano huu umehudhuriwa na viongozi wengi akiwemo Rais Samia Suluhu Hassan ambaye alihutubia mkusanyiko huo.
Tofauti na nchi kama China, Marekani na India, Tanzania haihusishwi sana kwa kuwa chanzo cha mabadiliko ya tabia nchi. Umuhimu wa kuhudhuria mkutano huo ni kujumuika na viongozi wengine katika kujadili suala hili na kuwa na mchango unaoweza kuleta manufaa chanya kwa miaka mingi ya baadaye.
View attachment 1996340
Nimebahatika kuanglia hotuba zote za Rais Samia na kwa bahati mbaya au nzuri, aligusia zaidi kwenye umuhimu wa nchi zilizoendelea kuzisaidia nchi ambazo hazijaendelea kifedha ili kuweza kukabiliana na tatizo hili la mabadiliko ya tabia nchi.
Labda inawezekana kwamba ni kweli Tanzania inahitaji misaada hiyo lakini kwa upande wa pili haipendezi kuona kwamba mawazo haya ya kuendelea kupata misaada imetawala katika vichwa vya viongozi wetu. Kauli kama hizo zinaweza zisizae matunda.
Ingependeza sana kama Rais Samia angejizatiti zaidi katika kuongelea umuhimu wa kuwa na "balance" katika shughuli za maendeleo, maslahi ya binadamu na mikakati ya kulinda mazingira. Kama Tanzania, angezungumzia changamoto zinazo sababishwa na mabadiliko ya tabia nchi na mipango yetu haswa katika kipindi ambacho tunatamani uchumi wa viwanda.
Kwa nchi zilizoendelea, umuhimu wa sayansi katika kuvumbua njia mpya zisizo chochea uharibifu wa mazingira zinazoweza kutumika kwenye sekta mbali mbali
Mungu ni mwema, wakati wote
Kweli mchele mmoja mapishi mbalimbali kwa nini yule Mheshimiwa alikuwa na chuki nao sana hawa wazungu hadi TBC kila siku ni kuimba mabeberu kumbe bado utawala wa hangaya unatamani hela zao,!!makubwa haya!!Kubali hatima yako. Resign to your fate. Bila ya kuombaomba utawatesa watu tena utaua. Hakuna lolote utakalotoboa bila ya misaada zaidi ya nguo na viatu vyako kwa uchovu.
Let avitu vya maana si kutukana tu.Hizi ngonjera zako zilimshinda Nyerere akang'atuka urais akamwachia Mwinyi nchi iko hoi kiuchumi.
Naye yule chizi wa Chato akaja na skili za kijinga kama hizi.
Muelewe yule mama mkitaka awapeleke hivi mnavyotaka nyinyi mtakaoumia ni nyinyi, hakuna Rais anayeumia kutokana na nchi kuwa na hali ngumu.
Hata huyo Magufuli baba wa uwongo kama alivyo shetani hajawahi kuwa na maisha magumu tangu singie serikalini achilia mbali Urais, tena yeye ndio kufuru alikuwa anatembea na begi limejaa pesa, anamgawia anayejisikia yeye kumgawia siku hiyo na huku akiwahadaa na kuwadanganya wajinga wenzake kwamba watembee kifua mbele Tanzania ni tajiri kumbe yeye ndio tajiri, na hilo kundi la wajinga wenzake kina Abunuwasi hawa unakuta wengi hawana uhakika wa milo hata miwili tu.
Jibu lako halihusiani na nilichokiandika.Aliegoma kutembeza bakuli katumia trilioni 4+ za wazazi wetu wastaafu. Dhambi iliyoje
Hoja ya "balance" katika maendeleo, masilahi ya binadamu inaweza ikaongelewa na big potatoes tu Ile ya G8, na siyo shithole countries (kama alivyoziita Trump).Wanabodi,
Tofauti na nchi kama China, Marekani na India, Tanzania haihusishwi sana kwa kuwa chanzo cha mabadiliko ya tabia nchi. Umuhimu wa kuhudhuria mkutano huo ni kujumuika na viongozi wengine katika kujadili suala hili na kuwa na mchango unaoweza kuleta manufaa chanya kwa miaka mingi ya baadaye.
Ingependeza sana kama Rais Samia angejizatiti zaidi katika kuongelea umuhimu wa kuwa na "balance" katika shughuli za maendeleo, maslahi ya binadamu na mikakati ya kulinda mazingira. Kama Tanzania, angezungumzia changamoto zinazo sababishwa na mabadiliko ya tabia nchi na mipango yetu haswa katika kipindi ambacho tunatamani uchumi wa viwanda.
Kwa nchi zilizoendelea, umuhimu wa sayansi katika kuvumbua njia mpya zisizo chochea uharibifu wa mazingira zinazoweza kutumika kwenye sekta mbali mbali
Mungu ni mwema, wakati wote
Trump alijiondoa kwa mambo mengi.Sijui kwanini Trump alijitoa kwenye paris agreement. Ila kwenye hiyo hotuba mama anataka hela, sasa ndio watoto wa mjini tunavo ishi
Hapo umepotosha. Dira ya Rais Samia iko wazi kabisa sema nyie mnaomuabudu yule DIKTETA mnabisha kama sehemu ya ibada.Mama hana dira, na kwa bahati mbaya hata huko kwenye chama hakuna tena watu wanaotanguliza maslahi ya nchi hii mbele. Imebaki wachumia tumbo tu kama akina Majaliwa, Mwigulu, Januari na wengineo.