Tumia akili wewe kiazi.Punguzeni ujuaji. Dogo anasema baada ya kuupiga ule mlango kwa kasia ukafunguka, akaokoa baadhi ya watu then akazama majini akaenda kwa rubani. Rubani akampa maelekezo ya ulipo mlango wa dharura ambao ndio waloufunga kamba inayovutika.
Pilika za uokozi au WIZI dogo alifikiria basi lile Kama kawaida kusachi mungu mwema kinyume chake kimekuja auheni kwakeAKA YA Majaliwa anakuambia mtaani anajulikana kama "Maja Mnyama." Dogo sound nyingi alafu hizo pesa anazopewa ingekuwa vizur angewapa na marafiki zake waliokuwa wote kwenye pirika za uokozi.
Acha ushamba kimba wewe, usije rudia kuniquote kiquma. Mimi siyo level yako mataqo weweTumia akili wewe kiazi.
We unatoumbwer nini, yaan uzuie mtu kukuquote? Koumer ler mermer yerko.Acha ushamba kimba wewe, usije rudia kuniquote kiquma. Mimi siyo level yako mataqo wewe
Tena hii uliyovuta ilikiwa haijakauka vizuri.Unaweza ukafunguka Kwa nje kama ukijaribu kuufungua Kwa ndani.Sijuwi nimevuta.
...SI Kuna wali Wahudumu wa Ndege Wasichana Wawili ambao Mwanzo tuliambiwa ndio Walisaidia kwenye kuongoza Abiria kutoka kwende...lakini Sasa Wameshauriwa Kabisa kama vile hawakuwepo! Mambo yote ni Bwana Mdogo Majaliwa TU.Achana na Dogo Majaliwa ni muongo ni tapeli na sirikali ya sisiem imeamua kupotezea mambo ya msingi kwa kumtumia Majaliwa- mlango wa Ndege kafungua Mhudumu wa Ndege na pia kwenye Ndege kulikuwa Giza after crash (lkn dogo anakuambia aliwasiliana na pilot kwa ishara).... Dogo ni muongo Mkubwa
Nakumbuka Majaliwa alisema mlango ulikuwa umejam hivyo yeye amesaidia tu kuupiga ili ukubali kufunguka.
...Halafu akazimia na yeye kupelekwa Hospitali kama mmoja wa Abiria Majeruhi...!Nimejiuliza sana bila majibu. Nadhani wahudumu wa ndege walifanya jitihada za kufungua mlango ndipo shujaa Majaliwa akasaidia kuunasua ama kuuvuta kwa nje maana kwa jinsi ile ndege ilivyokuwa mlango usingefunguka vizuri wao wakiwa ndani.
Nenda kamsikilize Komba yule jamaa alisema wao walitoka nje na hakukuwa na mtu wala msaada wowote kwa muda ndipo mtumbwi wa kwanza ukafika lkn wao wakiwa wameshatoka kwenye Ndege.Wanajitoa akili,mbona kasema kila mtu unaelewa kabisa.
ATR 42 inafunguka ila Hadi iwe ndani ya majiNaomba kuuliza kwa wenye uelewa. Hivi mlango wa ndege unaweza kufunguliwa kwa nje? Wajuzi wa mambo ya ndege tafadhali.
Msitumie kanuni hii kwa kubisha scenario ya dogo,kumbuka ndege ilikuwa imeanguka imevunjika mifumo mingi kama inavyoonekana haikuwa katika hali yake ya kawaida.
Kama ingekuwa nzima ilikuwa ni uchizi hata kufikiria kuvunja tu achia mbali kuvunja na kasia,vioo vya ndege sio kama vya kabati la vyombo,ukizingatia ilikuwa ndani ya maji,hapo isingewezekana kabisa.
but tuzingatie ndege ilikuwa imecrash.
[emoji23] kwenye tukio la Majariwa Shujaa, haki ya nani tulipigwa. Huyu kijana yuko hapo kimasilahi na amewekwa na watu wakubwa wa kiserikaliUnaweza ukafunguka Kwa nje kama ukijaribu kuufungua Kwa ndani.Sijuwi nimevuta.
Unajua sipindi point za kukoseana heshima, Ingekua tunaonana labda ningekuogopa kwa mwili wako, ila ku tayp, Sishindwi.Acha bangi wewe, wahudumu wawili kila mmoja akifungu mlango wake ili abiria watoke mule ndani, abiria wametoka nje na hakukuwa na mtu yeyote wala boti au mtumbwi wowote, wakawa wanaogopa kujirusha kwenye maji ndio watu wakaja na mitumbwi yao.
Nenda kasikilize ile clip
[emoji23][emoji23][emoji23]Kwa Ndege zinazokuja futuhi inawezekana,
Jamaa alikuta kufuri la Solex na kitasa,
Ushahidi[emoji116]View attachment 2413797
Akavunja[emoji116]View attachment 2413798
Unaonekana tu ulivyo pimbi, kwenu umeshamnyonya mamako maana ndio unavyoviweza.Boya ww, unahisi unamjibu mtu mstaarabu? Mm Gaidi boya wewe, ntakunyonya mavi mchana kweupe.
[emoji23][emoji23][emoji23]Hakuwa na boti na hana boti