Econometrician
JF-Expert Member
- Oct 25, 2013
- 16,879
- 31,253
Mkuu mimi nahisi kuna shida ebu nipe mkeo niangalie kama atashika mimba,Wakuu nina miezi miwili bila bila niko kwa ndoa. Niko na mashaka.
Una hoja mkuu,usikilizweUsimtie mimba mkeo mapema furahieni maisha kwanza na mjuane na kuzoeana vizuri
Angalau mwaka mmoja wa ndoa bila mtoto ni muhimu sana
Akishazaa na kupata mtoto mwanamke hutengeneza bond kali sana na mtoto kuliko mume
Waume wengi huhisi wanadharauliwa na upendo umeshuka
Miaka 2; ndugu yangu mmoja akajitoa ufahamu kuja kuniuliza...mwanangu kuna shida tukusaidie?Wakuu nina miezi miwili bila bila niko kwa ndoa. Niko na mashaka.
Nitafute mkuu, jambo Hilo ni jepesiPole sanaa mkuu.. Mtoto ni zawadi toka kwa Mungu, lakini kwaupande wako naona bado mapema sanaa.. umepoteza matumaini mapema mnoo.., miezi miwili michache sanaa.. But usiiwekee akilini hiyo ishu itakupa stress.. Binafsi nilipata stress hadi nilidhoofu yan lakn now nimesahau nachukulia kawaida...
Mimi ninavyoandika uzi huu, nina miaka watatu sijafanikiwa kupata mtoto.. show napiga frsh tena show moto.. lakini wife hashiki ujauzuto na wife katumia dawa nyingi sanaa... miti shamba,za hospitali,kwa mitume na manabii ishu bado imekua ngumu..
Nikaamua hadi mimi nikapime kucheki sperm kama zinashida, wife nikampeleka hosptali nyingi sanaa Dar, mbeya,Njombe n.k kwa specialists wa akina mama lakini holaa..
Baada ya hapo nilijipa muda wa kuangalia hali hiyo(.....Yrs) ikishindikana inatakiwa nifanye plan B ili tu nipate mtoto hata nje ya ndoa( ila sijapenda kufanya ivoo) inanibidi nichukue maamuzi magumu tu coz umri unaenda mkuu..
Nilipitia hali ngumu sanaa mwaka jana.. yani nilitamani hata ni badili dini, walau nipate jiko lingne kihalali lkn nafsi ili goma, nilitamani ni wife nimuachie kila kitu biashara mbili na mali zote za home lkn nafsi ilikataa, n.k but nimevumila had now, najipa moyo naamini nitafanikiwa. But nimejipa muda wa kuvumilia coz kuvumilia na kupoteza muda vinafanana but undani wake ni tofauti.
Kama kunamtu wakunishauri namkaribisha pia, bado napokea ushauri kwenu wadau wangu..
huu siyo wana kabisa ukiaminiwa jiaminisheMkuu mimi nahisi kuna shida ebu nipe mkeo niangalie kama atashika mimba,
mmhNitafute mkuu, jambo Hilo ni jepesi
We miezi miwili tu tayari ushakuwa na stress!! Mbona wengine wana zaidi ya miaka miwili bado wanatafuta mtoto.Wakuu nina miezi miwili bila bila niko kwa ndoa. Niko na mashaka.
Aisee,pole sana mkuu,nimesoma nimesikitika sana,kwanza nikupongeze kwa uvumilivu na uaminifu ulionao kwa mkeo,ni wachache sana wanaoweza kushinda hili karibu.Pole sanaa mkuu.. Mtoto ni zawadi toka kwa Mungu, lakini kwaupande wako naona bado mapema sanaa.. umepoteza matumaini mapema mnoo.., miezi miwili michache sanaa.. But usiiwekee akilini hiyo ishu itakupa stress.. Binafsi nilipata stress hadi nilidhoofu yan lakn now nimesahau nachukulia kawaida...
Mimi ninavyoandika uzi huu, nina miaka watatu sijafanikiwa kupata mtoto.. show napiga frsh tena show moto.. lakini wife hashiki ujauzuto na wife katumia dawa nyingi sanaa... miti shamba,za hospitali,kwa mitume na manabii ishu bado imekua ngumu..
Nikaamua hadi mimi nikapime kucheki sperm kama zinashida, wife nikampeleka hosptali nyingi sanaa Dar, mbeya,Njombe n.k kwa specialists wa akina mama lakini holaa..
Baada ya hapo nilijipa muda wa kuangalia hali hiyo(.....Yrs) ikishindikana inatakiwa nifanye plan B ili tu nipate mtoto hata nje ya ndoa( ila sijapenda kufanya ivoo) inanibidi nichukue maamuzi magumu tu coz umri unaenda mkuu..
Nilipitia hali ngumu sanaa mwaka jana.. yani nilitamani hata ni badili dini, walau nipate jiko lingne kihalali lkn nafsi ili goma, nilitamani ni wife nimuachie kila kitu biashara mbili na mali zote za home lkn nafsi ilikataa, n.k but nimevumila had now, najipa moyo naamini nitafanikiwa. But nimejipa muda wa kuvumilia coz kuvumilia na kupoteza muda vinafanana but undani wake ni tofauti.
Kama kunamtu wakunishauri namkaribisha pia, bado napokea ushauri kwenu wadau wangu..
Mkuu mkeo alishawai kufanya kipimo cha mirija??Pole sanaa mkuu.. Mtoto ni zawadi toka kwa Mungu, lakini kwaupande wako naona bado mapema sanaa.. umepoteza matumaini mapema mnoo.., miezi miwili michache sanaa.. But usiiwekee akilini hiyo ishu itakupa stress.. Binafsi nilipata stress hadi nilidhoofu yan lakn now nimesahau nachukulia kawaida...
Mimi ninavyoandika uzi huu, nina miaka watatu sijafanikiwa kupata mtoto.. show napiga frsh tena show moto.. lakini wife hashiki ujauzuto na wife katumia dawa nyingi sanaa... miti shamba,za hospitali,kwa mitume na manabii ishu bado imekua ngumu..
Nikaamua hadi mimi nikapime kucheki sperm kama zinashida, wife nikampeleka hosptali nyingi sanaa Dar, mbeya,Njombe n.k kwa specialists wa akina mama lakini holaa..
Baada ya hapo nilijipa muda wa kuangalia hali hiyo(.....Yrs) ikishindikana inatakiwa nifanye plan B ili tu nipate mtoto hata nje ya ndoa( ila sijapenda kufanya ivoo) inanibidi nichukue maamuzi magumu tu coz umri unaenda mkuu..
Nilipitia hali ngumu sanaa mwaka jana.. yani nilitamani hata ni badili dini, walau nipate jiko lingne kihalali lkn nafsi ili goma, nilitamani ni wife nimuachie kila kitu biashara mbili na mali zote za home lkn nafsi ilikataa, n.k but nimevumila had now, najipa moyo naamini nitafanikiwa. But nimejipa muda wa kuvumilia coz kuvumilia na kupoteza muda vinafanana but undani wake ni tofauti.
Kama kunamtu wakunishauri namkaribisha pia, bado napokea ushauri kwenu wadau wangu..
Kipimo kinauma hiki...Mkuu mkeo alishawai kufanya kipimo cha mirija??
Ila usiwaze mtapata mtoto
Kiliuma kwa.sababu ilikuwa na uchafu.so kilisafisha safisha.poleKipimo kinauma hiki...
Nina miaka 4 ya ndoa yangu, sijapata mtoto, stress nilipitia ila uzuri mume na wakwe na wifi zangu wananitia moyo.
Mwanzo nilijipa stress sana, ila zikapoa ila Kuna wakati zinarudi...
Hakika kama kuna kitu nilipima nikaumwa na kulazwa emergency ni hiki kipimo cha mirija yaani balaa lake ni hatare...
Jamani usiombe, hadi damu inatoka, alafu majibu yanakuja yanasema upo sawa.
Mungu unikumbuke na wote ambao wanapitia hili la kuchelewa kupata mtoto.
Mbona hawakuniambia kama nilikuwa na uchafu, waliniambia kipimo kinaonyesha huna tatizo...Kiliuma kwa.sababu ilikuwa na uchafu.so kilisafisha safisha.pole
Baada ya hapo umecheki magari? Una miaka mingapi?
Je katika zunguka kwa madaktari wife hana tatizo la uzazi?Pole sanaa mkuu.. Mtoto ni zawadi toka kwa Mungu, lakini kwaupande wako naona bado mapema sanaa.. umepoteza matumaini mapema mnoo.., miezi miwili michache sanaa.. But usiiwekee akilini hiyo ishu itakupa stress.. Binafsi nilipata stress hadi nilidhoofu yan lakn now nimesahau nachukulia kawaida...
Mimi ninavyoandika uzi huu, nina miaka watatu sijafanikiwa kupata mtoto.. show napiga frsh tena show moto.. lakini wife hashiki ujauzuto na wife katumia dawa nyingi sanaa... miti shamba,za hospitali,kwa mitume na manabii ishu bado imekua ngumu..
Nikaamua hadi mimi nikapime kucheki sperm kama zinashida, wife nikampeleka hosptali nyingi sanaa Dar, mbeya,Njombe n.k kwa specialists wa akina mama lakini holaa..
Baada ya hapo nilijipa muda wa kuangalia hali hiyo(.....Yrs) ikishindikana inatakiwa nifanye plan B ili tu nipate mtoto hata nje ya ndoa( ila sijapenda kufanya ivoo) inanibidi nichukue maamuzi magumu tu coz umri unaenda mkuu..
Nilipitia hali ngumu sanaa mwaka jana.. yani nilitamani hata ni badili dini, walau nipate jiko lingne kihalali lkn nafsi ili goma, nilitamani ni wife nimuachie kila kitu biashara mbili na mali zote za home lkn nafsi ilikataa, n.k but nimevumila had now, najipa moyo naamini nitafanikiwa. But nimejipa muda wa kuvumilia coz kuvumilia na kupoteza muda vinafanana but undani wake ni tofauti.
Kama kunamtu wakunishauri namkaribisha pia, bado napokea ushauri kwenu wadau wangu..