Mliokuwa mnauliza kazi ya Rostam Aziz kwenye ziara ya Rais Samia ya Marekani, hili ndio jibu lenu!

Mliokuwa mnauliza kazi ya Rostam Aziz kwenye ziara ya Rais Samia ya Marekani, hili ndio jibu lenu!

Taifa Gas ipo Dubai? Tigo ipo Dubai? Zantel ipo Dubai? Caspian ipo Dubai?

Samahani au nikuulize tu! Umeishia darasa la ngapi?
Viwanda vyeti vya ngozi alivifanya nini? Where does he invest the surplus he realizes kama sio Dubai na hapa anawaibia tu!! Wake up people!
 
Kamulize marehemu Reginal Mengi aliisha wahi kumtaja kuwa ni fisadi Papa na kutoa ushaidi,wala Rostam hakukana wala kwenda mahakamani kujisafisa.Hivo mpaka leo lostam anajulikana kama fisadi Papa
Aliwai kukupa uthibitisho? Kwani mengi ndo uthibitisho?
 
Hakuna cha chawa wala nini! Akifanya vizuri lazima apongezwe
Kati yake na huyo Rostam wewe ni 'chawa' wa nani.

Kwa nini Rostam asipewe aongoze nchi kama anao uwezo mkubwa kumzidi huyo anayekuvimbisha tumbo na kukuleta hapa JF kila siku kujaza takataka zako.
 
Viwanda vyeti vya ngozi alivifanya nini? Where does he invest the surplus he realizes kama sio Dubai na hapa anawaibia tu!! Wake up people!
Tupe ushahidi tu! Acha maneno
 
Kati yake na huyo Rostam wewe ni 'chawa' wa nani.

Kwa nini Rostam asipewe aongze nchi kama anao uwezo mkubwa kumzidi huyo anayekuvimbisha tumbo na kukuleta hapa JF kila siku kujaza takataka zako.
Akili Kubwa Samia Suluhu Hassan ndo imeona umuhimu kwa kumtumia Rostam kwenye kufanikisha uwekezaji kwa Tanzania

Samia anatosha
 
Intelejensia ya Dunia katika karne ya 21 imebadilika sana! Nchi nyingi duniani sasa zinafanya kazi kutengeneza nguvu na ushawishi kwenye uchumi!

Kupata nguvu na ushawishi kwenye Uchumi kunahusisha kutengeneza matajiri wakubwa wenye pesa wanaoweza kuwekeza, kushawishi uwekezaji, kuongeza ajira na mapato ya nchi kupitia ushawishi kwenye uwekezaji

Ukienda Misri kuna Nasser Sawaris anaemiliki viwanda vingi vya cement na shareholder wa kampuni kubwa zaidi ya vifaa vya michezo ulaya Adidas

Ukienda Afrika kusini Kuna Patrice Motsepe
anaemiliki shares nyingi kwenye makampuni mbalimbali ya madini

Ukienda Nigeria kuna Aliko Dangote mwekezaji mkubwa kwenye uzalishaji wa cement , Sukari na mafuta na sasa anatengeneza refinery ya kwanza ya mafuta katika Bara la Africa

Tanzania tunae Rostam Aziz mmiliki wa kampuni ya Caspian, Taifa Gas, Tigo na Zantel! Huyu kuaminika kwake kunafanya kuwa mtu ambae Tanzania tunamtegemea sana kwenye kishawishi uwekezaji mkubwa unaotengeneza fursa za ajira na kukuza mapato na Uchumi wa nchi yetu

Urusi wanao wengi akiwemo Roman Abramovich aliyekuwa mmiliki wa club ya Chelsea

Marekani ndo usiseme wanao wengi na wanazidi kuzalisha wengi kila siku kama Jeff bezoz, Bill Gates, Warren Buffet, Elon Musk na wengineo wengi

Mfano wa kazi nzuri za Rostam Aziz kwa Tanzania ni huu! Katika ziara aliyoambatana na Rais Samia Marekani, ameweza kushawishi uwekezaji mkubwa katika kilimo hapa Tanzania kupitia Benki ya maendeleo Afrika.

Hongera Rais Samia, naiona akili kubwa sana kwako inayoenda kuiba dili haraka sana Tanzania kiuchumi


View attachment 2207616
Hizo benki zinaelekeza kwenye kilimo badala ya kuweka focus kwenye viwanda pia. Tukikazana kwenye kilimo tutaendelea kuwanufaisha wazungu kwa kuwatayarishia malighafi kwa viwanda vyao.
 
Back
Top Bottom