Mnaotupigia Kelele kuhusu Chama nina Maswali yangu haya Kwenu

Mnaotupigia Kelele kuhusu Chama nina Maswali yangu haya Kwenu

1. Hivi Simba SC haijawahi Kufungwa Chama akiwemo?

2. Hivi Simba SC haijawahi kutoka Sare Chama akiwemo?

3. Hivi Simba SC ilipofika hatua ya Robo Fainali ya CAFCL mwaka Chama alikuwepo?

Na kupitia hili la Chama GENTAMYCINE nimegundua kuwa 85% ya mnaolishadadia nje ya kuwa ni Wapuuzi na Mambumbumbu wa Soka pia ni Washamba mno kama siyo sana.

Sasa kwa Taarifa yenu kwa wale Wakongwe na tunaoujua vyema Mpira ( Fabo ) huyu Mungu Mtu Wenu Clatous Chota Chama hajafikia bado hata 50% tu ya Uwezo na Vipaji vya Watu kama Marehemu Hamis Tobius Gaga 'Gagarino' wa Simba SC na Athumani Abdallah China wa Yanga SC.

Mnaacha Kumjadili Mpuuzi wenu Mkuu Kipa Aishi Manula na anavyotufungisha Simba SC Kizembe Siku za karibuni tuko tu katika Kumjadili Kocha Mkuu wa Simba SC Roberto Olivieira kuwa kwanini Juzi alimpumzisha Mungu Mtu Wenu Chama tulipocheza na Mbeya City FC utadhani basi hata Wengi wetu tuna a,b,c's za Ukocha au hata huo Mpira wenyewe tulibahatika Kuucheza na tuliujua na tunaujua kwa Kuuchambua hata sasa.

Tumewachokeni na Chama wenu!!!!
Ulipowataja hao wazee tu nikaona umeandika upuuzi
 
Makocha pia huwa wanakosea kwa hiyo mijadala Kama hiyo ni kumtahadharisha kocha. Kwenye mechi ya ngao ya hisani yule kocha alipomtoa Chama timu ilizidi kuwa na hali mbaya na yanga wakashinda. Pumba zingine huwa unabaki nazo kichwani mwako.
Simba alizidiwa kwa sababu za kiufundi ila sio kupigwa sub kwa chama, second half feisal alirudi kupiga 8 alafu aziz ki akatolewa kule kwenye winga akaletwa kati kupiga 10 ndipo simba akapoteana uwanjani
 
Cookie na Moderators Wengine wa JamiiForums Paw, YinYang, Active, Moderator na JamiiForums nimeshawalalamikiemi mno kuhusu huyu Mtu ambaye leo niseme Kwenu kuwa mnamlea mno na huenda pia mkawa mnafurahia jinsi anavyopenda Kunidhihaki, Kunichokoza, Kunishambulia na hata Kunidhalilisha kwa kila Mada ambayo naianzisha hapa JamiiForums.

Najua anachokitaka ni Majibizano nami kisha nipandwe na Hasira ( Jazba ) na nianze Kumjibu hovyo kisha upesi sana Watu Wanaonichukia hapa Waniripoti Kwenu na mnipe BAN ya Wiki Mbili, Mwezi au Miezi Mitatu afurahie / Wafurahi.

Mimi mbona hata huwa sijishughulishi na Mada zake hapa JamiiForums? Hivi kama hanipendi GENTAMYCINE na havutiwi na Uwasilishaji wangu wa Masuala hapa JamiiForums kwanini haachani na Mimi na Kutwa amekuwa ni Mtu wa Kunifuatafuata tu?

Tafadhali kama huyu LIKUD anatumika Kimkakati ili Kunichokoza Kimakusudi GENTAMYCINE ili nihamaki nijibizane nae na mnipige BAN nisiwepo hapa JamiiForums semeni tu Wazi Kwangu kuwa nanyi hamnitaki na sitakiwi ili niwaachieni Jamvi lenu hili kwa Amani sawa? Inakera.

Na mwambieni huyu Mtu kuwa hawezi / haiwezi kamwe Vita ya Maneno na Majibizano nami hapa JamiiForums kama nikiamua ila Najiheshimu, Nauheshimu huu Mtandao Wenu na nawaheshimu sana Followers wangu na hata wale Wanaonikubali hivyo sitaki Kuwakwaza.

Cc: JamiiForums Founder Maxence Melo

Na naomba hii post isifutwe tafadhali.
Sasa hapo kakosea nini popoma
 
You better quit my friend, hapa unapewa mifano hai na halisi, toka dunia ya mpira, hakuna kubahatisha, hizi nondo huzipati pengine, sio kama hizo kelele zenu...

Huyo Scars pamoja nawe mna mawazo mgando, msiojua makocha wamekuja tofauti, wenye mitazamo/falsafa tofauti, nyie mmebaki na mawazo mgando ya Mgunda, kumtetemekea mungu mtu wenu, wakati wajanja tunatembea na akili mpya ya kocha mzungu...

Ndio maana hata maswali yote ya Gemntamycine mmeshindwa kujibu, ubishi tu!.
Leo umeongea point Sana jamaa bravo, kila kocha huwa na aina yake ya kucheza na kila aina ya kucheza huwa na aina ya wachezaji wake..mchezaji anaweza akawa mzuri lakini akashindwa kucheza aina flan ya mpira, siku hz hata ma goli kipa tu wanatakiwa wanaojua kuuchezea mpira maana mifumo mingi ya kisasa inataka kipa ndo aanzishe mashambulizi

Nakumbuka Guardiola alivyotua city aliamua kumuuza Joe Hart akisema footwork yake siyo nzuri akamsajili Ederson, De gea kwenye world cup ya msimu huu alipigwa chini pia sababu hiyo hiyo,

Binafsi naona wakupewa lawama zote ni viongozi wa team ambao wanafanya vetting ya makocha wanaoajiri maana wao ndo wanajua philosophy ya team iweje waajiri mtu anayekuja kuleta philosophy mpya??

Outcrop Rock (Mwamba Kipara)
 
1. Hivi Simba SC haijawahi Kufungwa Chama akiwemo?

2. Hivi Simba SC haijawahi kutoka Sare Chama akiwemo?

3. Hivi Simba SC ilipofika hatua ya Robo Fainali ya CAFCL mwaka Chama alikuwepo?

Na kupitia hili la Chama GENTAMYCINE nimegundua kuwa 85% ya mnaolishadadia nje ya kuwa ni Wapuuzi na Mambumbumbu wa Soka pia ni Washamba mno kama siyo sana.

Sasa kwa Taarifa yenu kwa wale Wakongwe na tunaoujua vyema Mpira ( Fabo ) huyu Mungu Mtu Wenu Clatous Chota Chama hajafikia bado hata 50% tu ya Uwezo na Vipaji vya Watu kama Marehemu Hamis Tobius Gaga 'Gagarino' wa Simba SC na Athumani Abdallah China wa Yanga SC.

Mnaacha Kumjadili Mpuuzi wenu Mkuu Kipa Aishi Manula na anavyotufungisha Simba SC Kizembe Siku za karibuni tuko tu katika Kumjadili Kocha Mkuu wa Simba SC Roberto Olivieira kuwa kwanini Juzi alimpumzisha Mungu Mtu Wenu Chama tulipocheza na Mbeya City FC utadhani basi hata Wengi wetu tuna a,b,c's za Ukocha au hata huo Mpira wenyewe tulibahatika Kuucheza na tuliujua na tunaujua kwa Kuuchambua hata sasa.

Tumewachokeni na Chama wenu!!!!
GENTAMYCINE, tunaojua mpira tumekuelewa bro Ila mashabiki oya oya wataleta kelele nyingi..mara nyingi kila game huwa na approach yake na kila kocha huwa na mbinu zake.
 
Leo umeongea point Sana jamaa bravo, kila kocha huwa na aina yake ya kucheza na kila aina ya kucheza huwa na aina ya wachezaji wake..mchezaji anaweza akawa mzuri lakini akashindwa kucheza aina flan ya mpira, siku hz hata ma goli kipa tu wanatakiwa wanaojua kuuchezea mpira maana mifumo mingi ya kisasa inataka kipa ndo aanzishe mashambulizi

Nakumbuka Guardiola alivyotua city aliamua kumuuza Joe Hart akisema footwork yake siyo nzuri akamsajili Ederson, De gea kwenye world cup ya msimu huu alipigwa chini pia sababu hiyo hiyo,

Binafsi naona wakupewa lawama zote ni viongozi wa team ambao wanafanya vetting ya makocha wanaoajiri maana wao ndo wanajua philosophy ya team iweje waajiri mtu anayekuja kuleta philosophy mpya??

Outcrop Rock (Mwamba Kipara)
Pointi nyingi huziweka hapa, tatizo huku kuna mabingwa wa kukariri wenye akili mgando.

Nawe unaonekana unaijua dunia ya mpira, big up!.
 
GENTAMYCINE, tunaojua mpira tumekuelewa bro Ila mashabiki oya oya wataleta kelele nyingi..mara nyingi kila game huwa na approach yake na kila kocha huwa na mbinu zake.
Nyinyi hamna Kitu na mpira hamuujui. Huwezi kumpiga benchi Samatta aanze Bocco au umpige benchi Mbape aanze Martial halafu useme ni approach na mbinu ya kocha Kwa mchezo husika. Cha Kwanza ni kipaji cha Mchezaji halafu approach na mbinu ndio inafuata.Mchezaji Bora lazima awe ndani ya approach ya kocha.
 
Nyinyi hamna Kitu na mpira hamuujui. Huwezi kumpiga benchi Samatta aanze Bocco au umpige benchi Mbape aanze Martial halafu useme ni approach na mbinu ya kocha Kwa mchezo husika. Cha Kwanza ni kipaji cha Mchezaji halafu approach na mbinu ndio inafuata.Mchezaji Bora lazima awe ndani ya approach ya kocha.
Haipo hivyo mkuu, haujawahi kuona mchezaji mwenye talent kubwa lakn anashindwa kuonesha uwezo wake kisa approach ya game?? Mfano mzuri ni Juan Mata pale Chelsea alikuwa tegemezi Sana Ila baada ya kuja Mourinho Ile staili yake ya kupaki bus ikamshinda kabisa mwisho wa siku Mata akatimkia Man U

Ronaldinho Gaucho pia aliwahi kukiri kwamba mbinu mpya za mpira zimekuja kuharibu Radha ya soka sababu wachezaji hawatakiwi kuonesha zaidi burudani na njonjo walizonazo bali wanatakiwa wacheze kutokana na philosophy ya team tu, lengo likiwa ni kupata matokeo, hakuna tena anaejali eti mchezaji awe anapiga piga chenga za upuuzi na kukaa na mpira mda mwingi watu wanataka matokeo tu

Mfano mwingine ni Yule Anthony wa Man U juzi tu baada ya game ya Nottingham v United wachambuzi wengi wakiwemo kina Garry Nevil wanamlaumu kuwa yeye ni mchezea mpira na siyo mchezaji wa mpira, wakimaanisha kuwa ana Mambo ambayo hayana impacts kwenye philosophy Yao ya kushambulia Kwa haraka, maana mda mwingi anataka awe na mpira mguuni aoneshe vitu vyake.
 
Nyinyi hamna Kitu na mpira hamuujui. Huwezi kumpiga benchi Samatta aanze Bocco au umpige benchi Mbape aanze Martial halafu useme ni approach na mbinu ya kocha Kwa mchezo husika. Cha Kwanza ni kipaji cha Mchezaji halafu approach na mbinu ndio inafuata.Mchezaji Bora lazima awe ndani ya approach ya kocha.
Ukinijibu maswali haya basi nitakubaliana na wewe kuhusu hoja uliyoitoa

1. Kwanini Jose Mourinho alikuwa hamtumii Juan Mata wakati msimu mmoja kabla hajaja Mata ndo alikuwa best player pale Chelsea mfumo wa team wote ulikuwa unabebwa na yeye?

2. Kwanini Guardiola aliamua kumuuza Joe Hart kipa ambae alikuwa anafanya vizuri Sana pale city badala yake akaamua kumsajili Ederson?

3. Kwanini David De gea hakuitwa national team kwenye world cup ya 2022 pale Qatar Spain ikiwa chini ya Luis Henrique?

4. Kwann Clatous Chama ambaye ni moja Kati ya viungo Bora kabisa katika Ligi yetu ya NBC hakudumu pale berkane?
 
Sema mademu wa SAUT hawana akili mkuu

Nikiwa bado mwanafunzi wa sekondari A levo 2009, nikiwa likizo kuna manzi alikua anasoma BA Economics mkali sana akanichukua nikamfanyie mtihani wa hesabu (QM) or something maana nimesahau code name kwa makubaliano anipe mbususu

Alinipa mbususu nikaichakata sana then nikaenda kumfanyia mtihani
Weupe sna tu ,kipindi hicho udom na saut vilikuwa vinatoa vijana wa ovyo sna kijana nilikutana nae ktk harakati za fln ndio nikajuwa wako weupe mno

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Ingawa hicho chuo mwaka 2009 hyo hyo ilimpokea mwanafunzi kutoka chuo chetu aliye disco na Kisha kukimbilia saut na kuunganisha mmoja kwa moja akaibukia mtaani na degree yake ya B, administration in procurement nilikidharau Sana chuo hicho [emoji41] sijui Ni kigezo kipi kilitumika kumpa degree bwna yule

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Rubbish and Nonsensical.
 
Back
Top Bottom