Pre GE2025 Mnyika ampongeza Mbowe kwa kugharamia shughuli zote za Uchaguzi CHADEMA

Pre GE2025 Mnyika ampongeza Mbowe kwa kugharamia shughuli zote za Uchaguzi CHADEMA

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Msichojua kuna matajiri wakubwa, hutumia watu wapeleke michango Chadema. Huwa hawataki kujulikana. Sababu ccm huwasumbua kwenye biashara zao. Ila wapo na wanatoa pesa sana, kaja mtu anayependa uwazi na ukweli anaweza sema kiasi wanachopokea, toka kwa hao wanaojitolea.

Kingine ushauri tu. Kila mwanachama achangie kadi hata buku 10. T-shirt, scarf na kofia, yale magwanda, bendera za chama. Zitengenezwe na Chama, ili wanachama wanunue kuongeza pato la Chama. Najua TAL atasimamia hizo pesa vizuri. Chadema kinakuja kuwa Chama tajiri, kijiendeshe chenyewe. Kila la kheri TAL, CHADEMA ✌️
Marehemu Mengi alikuwa anassupport sana hiki chama pasi n kujificha
 
Changamoto ni kwamba amestaafishwa kwa lazima. Hii haipo sawa sana

Ushauri kwa Lissu, afanye fund mobilisation and wajenge ukumbi mkubwa na Ofisi haya mambo yafanyike huko, hiyo biashara ya kulipa mamilioni kugharamia ukumbi na meza haipo sawa. Bilioni 1 inaweza kujenga hivyo vitu watafute Mkandarasi mzuri tu au watumie Force Account 😅
Hata mikopo na si lazma kuanzia umbumbi wanaweza anza kwa kuwekeza vitu vidogo vidogo chama kianze kuwa na resources
 
Ila kusema kweli nguo za CHADEMA zinapendeza hata kanisani unavaa vizuri tu, sio zile za kijani ukiwa kwenye shamba la mahindi kuonekana ngumu
Hizi nazo ukiwa kwa mitungu ya oryx si unaonekana kama mtungi
 
Changamoto ni kwamba amestaafishwa kwa lazima. Hii haipo sawa sana

Ushauri kwa Lissu, afanye fund mobilisation and wajenge ukumbi mkubwa na Ofisi haya mambo yafanyike huko, hiyo biashara ya kulipa mamilioni kugharamia ukumbi na meza haipo sawa. Bilioni 1 inaweza kujenga hivyo vitu watafute Mkandarasi mzuri tu au watumie Force Account 😅
Hilo jambo la kujenga ukumbi linakuaga kipele sana, watu wanatumia vikao kama fursa ya kupiga hela.

Mpaka leo chama cha mawakili Tanganyika hakina ukumbi wa kutosha mawakili 2,000 wakati kinakusanya ada na michango kwa wanachama, na kibaha viwanja ni bei chee tu
 
Back
Top Bottom