Jumbe Brown
JF-Expert Member
- Jun 23, 2020
- 12,077
- 12,786
Mmeanza kupiga poo Mara! Nyie so ndio mnasemaga nchi hii lazima iendeshwe kwa kufuata Sheria na kwamba hakuna mtu aliye juu ya Sheriaπ€£ππ€£! Sasa hayo huwa mnataka yatekelezwa kwa mbuzi au mitiππ€£π! We ngoja atue anyone huo mkono wa Sheria ulivyo! Lazima Sheria ifuate mkondo hata Kama rais Ana huruma!hivi nyie mnaoshabikia lissu kufikia korokoloni mnajua madhala yake ?kwanza sidhani vyombo dola makin wanaweza fanya upuuzi kama huo naamini wanajitambua aijalishi mzee anashaurika au la taifa kwanza mengine badae
TRUST labda kama uko misitu ya kongo.
Embu kwanza piga picha ya aliko zaliwa kukoje .
Njooo kwa Tanzania nzima.
Usishangae habari za WAJUMBE zinasambaa kwa kasi na zinatrend kuliko Msiba ..
KWA TAARIFA TU, LABDA MUMKAMATE UWANJANI KESHO.
BILA IVO HAMTAAMINI KITAKACHOTOKEA SIKU YA MSIBA ATAKAPOTEMBELEA, NASEMA HIVI HAMTAAAMINI HAMTAAAMINI NAMNA WAJUMBE WA KITANZANIA WATAKAVYOMSHANGILIA T.LISSU NA KUSAHA MSIBA.
Dola siimejifanya haitaki mkusanyiko, Mimi kesho asubuj naanza safari yakwenda kumpokea.
Mkitukazia sanaaa, Labda mumuweke mahubusu mpaka mmalize mazishe, bila ivo .... TUTAELEWANA TU HAPO MSIBANI WAKATI WAJUMBE WATANZANIA MACHO YAO YATAKAPOMUONA LISSU HUYOOOO[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
hiyo ndo itakua sherehe rasimi ya Kumpokea Lissu katikati ya watu wenye hudhuni usoni ,nafuraha moyoni sababu wamemuona LISU.
Ndugu kuwa realistic. Mimi niko kwenye makundi zaidi ya ishirini ya watsup tena ya vijana ambao wengi wao ni graduates, nimepita Instagram na Facebook , watu hawana habari na Lissu, na hata ikitokea taarifa zake zikatumwa kwa magroup, wengi wa watu wanampinga, walau Twitter nimeona watu wakihimizana, japo ni wale wale waliohimiza maandamano ya Mange halafu mwisho wa siku wakaingia mitini. Wengine walikuwa wanahimiza kampeni ya #77NYEUPE halafu mwisho wa siku, wakatokelezea wamevaa rangi zingine. Lissu anachokitegemea kwa Sasa ni huruma ya wananchi. Uchaguzi ni zaidi ya huruma.TRUST labda kama uko misitu ya kongo.
Embu kwanza piga picha ya aliko zaliwa kukoje .
Njooo kwa Tanzania nzima.
Usishangae habari za WAJUMBE zinasambaa kwa kasi na zinatrend kuliko Msiba ..
KWA TAARIFA TU, LABDA MUMKAMATE UWANJANI KESHO.
BILA IVO HAMTAAMINI KITAKACHOTOKEA SIKU YA MSIBA ATAKAPOTEMBELEA, NASEMA HIVI HAMTAAAMINI HAMTAAAMINI NAMNA WAJUMBE WA KITANZANIA WATAKAVYOMSHANGILIA T.LISSU NA KUSAHA MSIBA.
Dola siimejifanya haitaki mkusanyiko, Mimi kesho asubuj naanza safari yakwenda kumpokea.
Mkitukazia sanaaa, Labda mumuweke mahubusu mpaka mmalize mazishe, bila ivo .... TUTAELEWANA TU HAPO MSIBANI WAKATI WAJUMBE WATANZANIA MACHO YAO YATAKAPOMUONA LISSU HUYOOOO[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
hiyo ndo itakua sherehe rasimi ya Kumpokea Lissu katikati ya watu wenye hudhuni usoni ,nafuraha moyoni sababu wamemuona LISU.
Wanajifurahisha Hao......Ndugu kuwa realistic. Mimi niko kwenye makundi zaidi ya ishirini ya watsup tena ya vijana ambao wengi wao ni graduates, nimepita Instagram na Facebook , watu hawana habari na Lissu, na hata ikitokea taarifa zake zikatumwa kwa magroup, wengi wa watu wanampinga, walau Twitter nimeona watu wakihimizana, japo ni wale wale waliohimiza maandamano ya Mange halafu mwisho wa siku wakaingia mitini. Wengine walikuwa wanahimiza kampeni ya #77NYEUPE halafu mwisho wa siku, wakatokelezea wamevaa rangi zingine. Lissu anachokitegemea kwa Sasa ni huruma ya wananchi. Uchaguzi ni zaidi ya huruma.
Anyway, kwa sasa Lissu kupata Attention labda atokeze Taifa kwenye msiba wa Big Ben, kinyume chake, mchongo wake umebuma.
Wasiwasi wangu, Je, akiamua kuja Taifa, watu wa usalama watamruhusu?
All in all, tunamkaribisha Tanzania, aje tujifukize.
Aya...Ujio wa Lissu unaweza pelekea heart attack kwa watu wengine.
Sawaa...savimbi eee yetu macho......Fundi kutoka Belgium.
ππππAMINA KUBWA
Loooh ayaaπππππHuyu Lisu angejua kuna watu wa jinsia ya kiume wanavyomlinda humu angekua proud sana.
π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£Huyu Lisu angejua kuna watu wa jinsia ya kiume wanavyomlinda humu angekua proud sana.
Hili neno wanyonge linakera sana!! Mimi sio mnyongeRais wa wanyonge, mpenda haki na usawa kwa watanzania wote, Karibu nyumbani.
Kwahiyo bora alivyokufa Ben ili azime Kick ya Lissu??π πToo bad, hatopata kiki aliyokuwa anaitegemea.
Habari ya taifa kwa sasa ni Hayati Rais mstaafu Benjamin Mkapa.
Right now Lissu is a footnote.
Nimepita mijini na vijinij toka tar 24 hafi leo tar 27 naona watu wanaendelea na shughuli zao wala hawana habari. Habari ni Ujio wa Lissu tu. Si mwanaccm si mwanacgadema kila mtu anauliza tu.Sio tu mtandaoni ...
WATU HAWANA MUDA NA MAJONZI.
NAKUMBUKA KWA MZEE JN , WATU MTAANI WALIKUA WANALIA SANA, KILA UNAPOPITA NI HUZUNJ NAWATU KULIA.
saizi hamna mtu wakuliliwa ndani ya ccm , watu wamechoka..
Wanaolia ni wanufaika wa kikundi .
Yes ni bahati mbaya tu na ni mapenzi ya Mungu.2na mkalibisha sana nyumbn jmbo kaja kipnd hiki
Kigumu cha majonzi..
Umeuliza swali au umetoa kauli?Kwahiyo bora alivyokufa Ben ili azime Kick ya Lissu??π π
Hatimaye Lissu kaja. Mlisema hatakuja.Haya ya mtandao watanzania usiwaamini...yasije kua ya mange kimambii
Kuna wengine wameenda pale kumg'ong'a tuMkuu kwa kuongezea. Watu 29 walizimia wakati wa kuaga. Lkn leo watu wanauza sura kwenye tv. Wako fresh kama wanamsubiria bibi harusi
Amina na Mungu wa Mbinguni ayasikie maombi yako.Dah nimejawa Na uoga kuhusu uhai wa Tundu lisu,namuonea sana uruma,kisha kuwa mlenavu sio aliyokuwa,Na binaadamu wengine wanafurahia hali yake!!mashindwa hata kuamini kama nipo Na watu wanapotwa watanzania,Ehee mungu mlinde Mtu huyu kwani sioni makosa yake,zaid ya kukosoa pasipo sawa