Moshi: Mahakama yamuachia huru Wendy Mrema aliyetuhumiwa kumuua mama yake mzazi na kumzika

Moshi: Mahakama yamuachia huru Wendy Mrema aliyetuhumiwa kumuua mama yake mzazi na kumzika

Ukiifatilia hii kesi huyo mshtakiwa wa kwanza ni Mganga awali alikua na mahusiano na Wendy inaelezwa ndiye aliyecheza michezo yote ikiwemo kumpumbaza huyo Wend kuuza mali na kummaliza mama yake
 
Mahakama ya Hakimu Mkazi Moshi imemuachia huru Wendi Mrema aliyekuwa akituhumiwa kumuua mama yake mzazi.

Uamuzi huo umetolewa na Hakimu, Naomi Mwirinde, leo Agosti 19, 2022 baada ya upande wa mashitaka kuwasilisha maombi ya kutokuwa na nia ya kuendelea na shauri hilo.


Pia soma: Moshi: Anayetuhumiwa kumuua mama yake kwa panga afikishwa mahakamani

Moshi: Binti amuua Mama yake mzazi kisa Mali. Mwili wagundulika ulipozikwa baada ya mwaka mmoja
Hapo wameyamaliza nyumba I kummk.

Mchagga anaamka saa 10 anabeba majani ya sale anakwenda Kwa aliyemkosea akiamka tu anamkuta mlangoni. Wakishakula ndafu na mbege kesi imeisha.

Maisha hayatakuja kuisha Kilimanjaro. Stupid
 
Jeshi la Polisi limeufukua Mwili huo leo tarehe 09-01-2022 katika kata ya Rau baada ya kumhoji binti huyo Kwa zaidi ya wiki mbili sasa Kisha kukiri kumchinja mama yake Kwa panga na kumfukia nyumbani hapo.

Ni takribani Mwaka sasa ndugu na majirani walipokuwa wamuulizia mama huyo walipatiwa majibu na binti huyo kuwa amesafiri Kwa matibabu nje ya nchi.
 
Hapo wameyamaliza nyumba I kummk.

Mchagga anaamka saa 10 anabeba majani ya sale anakwenda Kwa aliyemkosea akiamka tu anamkuta mlangoni. Wakishakula ndafu na mbege kesi imeisha.

Maisha hayatakuja kuisha Kilimanjaro. Stupid
Kesi ilikuwa chini ya serikali bwasheee..
 
Maigwa alifafanua: “Desemba 20, mwaka jana, majirani zake walikuja Polisi kutoa taarifa za shaka kwamba huenda Patricia aliuawa miezi 10 iliyopita. Tulianza uchunguzi ikiwamo kukusanya vielelezo na tulifanikiwa kuwatia mbaroni watuhumiwa hao ambao walienda kuonyesha walipouficha mwili wa marehemu.
 
Hii sijailewa, kesi ya mauaji inakuwa chini ya jamhuri. Kumbuka haya sio madai bali ni jinai
sasa jamhuri imekwaje tena Ione haja wasiendelee na kesi? Hata wangezuga kwanza kwa miaka kadhaa siyo wazi wazi hivi
 
Mahakama ya Hakimu Mkazi Moshi imemuachia huru Wendi Mrema aliyekuwa akituhumiwa kumuua mama yake mzazi.

Uamuzi huo umetolewa na Hakimu, Naomi Mwirinde, leo Agosti 19, 2022 baada ya upande wa mashitaka kuwasilisha maombi ya kutokuwa na nia ya kuendelea na shauri hilo.


Pia soma: Moshi: Anayetuhumiwa kumuua mama yake kwa panga afikishwa mahakamani

Moshi: Binti amuua Mama yake mzazi kisa Mali. Mwili wagundulika ulipozikwa baada ya mwaka mmoja
  • Polisi walisema wanakamilishha upelelezi
  • Wakakamilisha upelelezi, wakasema mtuhumiwa amekili kuhusika
  • Akafikishwa mahamani
  • Nini kinamfanya mwendesha mashtaka aseme hana nia ya kundelea na kesi kama mhusika alikili kutenda kosa?
 
Back
Top Bottom