cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
Huyo Meya ni mzembe na hajui kusimama ktk mstari wa sheria, ametolewa labda ktk tuhuma zingine na sio ushoga, na km ushoga kweli ndo tuhuma iliyomtoa, basi sioni Elimu, upeo na ufahamu wake ktk kupambanua na kuchanganua mambo mbali mbali.
Mbna suala dogo hivi kashindwa kuli solve, au kashinikizwa na mamlaka ya juu zaidi kujitoa ktk nafasi hiyo, ili kuisafisha na kuiosha taasisi hiyo,
Ila hii nchi bhana, ina shangaza sana, badala ya kushughurika na mambo ya msingi kwa maslahi ya umma, wao wako buzzy na suala binafsi la mtu khaaaah. Huku haijui isimamie lipi na iache lipi,
Suala la ushoga kwa Tanzania iko wazi ni ruksaa, hata ktk sheria ipo inayolinda hilo, sasa serikali inataka kufurahisha umma kwa kukataa ushoga kisingizio eti tamaduni na desturi, utadhani ndo jambo la maana sana, khaaah.
Ifike hatua iwekwe clearly km ushoga n ruksa au ni jinai, ili kila mtu aelewe, na km ruksa bas wahusika waachwe huru kufanya mambo yao binafsi wazi, na km jinai bas kuwepo na adhabu au muongozo sahihi juu ya wahanga hao na ufuatwe kulingana na taratibu husika, kwan itapunguza sintofahamu na mikanganyilo isiyo na ulazima.
Poleeeeeh Meya ila usikate tamaa, simamia unachokiamini usiyumbishwe na lolote, wee n wee na utabaki kuwa wee.
Mbna suala dogo hivi kashindwa kuli solve, au kashinikizwa na mamlaka ya juu zaidi kujitoa ktk nafasi hiyo, ili kuisafisha na kuiosha taasisi hiyo,
Ila hii nchi bhana, ina shangaza sana, badala ya kushughurika na mambo ya msingi kwa maslahi ya umma, wao wako buzzy na suala binafsi la mtu khaaaah. Huku haijui isimamie lipi na iache lipi,
Suala la ushoga kwa Tanzania iko wazi ni ruksaa, hata ktk sheria ipo inayolinda hilo, sasa serikali inataka kufurahisha umma kwa kukataa ushoga kisingizio eti tamaduni na desturi, utadhani ndo jambo la maana sana, khaaah.
Ifike hatua iwekwe clearly km ushoga n ruksa au ni jinai, ili kila mtu aelewe, na km ruksa bas wahusika waachwe huru kufanya mambo yao binafsi wazi, na km jinai bas kuwepo na adhabu au muongozo sahihi juu ya wahanga hao na ufuatwe kulingana na taratibu husika, kwan itapunguza sintofahamu na mikanganyilo isiyo na ulazima.
Poleeeeeh Meya ila usikate tamaa, simamia unachokiamini usiyumbishwe na lolote, wee n wee na utabaki kuwa wee.