Mpwayungu yupo sahihi, hii kazi ya ualimu ni ngumu sana

𝐖𝐞𝐞𝐞𝐞!!!! Nani kakudanganya

ukila ni kazi unaweza kukabwa, ukila bila utaratibu maalumu utaugua. Kula ni kazi na ni sayansi pia.

Kulala.. utaota mandoto mabaya unakimbizwa....una.....unambato (me) au unambwato (ke) mara umelowa.

Kunya (kupoop) kwenyewe kazi ulishawahi kubanwa stendi huna hata mia...unasafiri gari halisimami....
Choo kigumu usiseme(constipation)[emoji849][emoji849][emoji849]. Mara unagongewa mlango huku huhamaliza starehe.

Acha tu kazi yoyote ni ngumu mkuu hakuna kirahisi
𝐖𝐚𝐧𝐚𝐤𝐨𝐬𝐞𝐚 𝐰𝐚𝐭𝐮 𝐬𝐞𝐦𝐚 𝐧𝐢 𝐩𝐨𝐬𝐡𝐨 𝐧𝐚 𝐦𝐚𝐬𝐥𝐚𝐡𝐢 𝐡𝐚𝐤𝐮𝐧𝐚 𝐭𝐮 𝐜𝐡𝐚 𝐦𝐬𝐢𝐧𝐠𝐢 𝐩𝐞𝐧𝐝𝐚 𝐮𝐧𝐚𝐜𝐡𝐨𝐤𝐢𝐟𝐚𝐧𝐲𝐚.
𝐭𝐚𝐟𝐮𝐭𝐚 𝐦𝐛𝐢𝐧𝐮 𝐦𝐛𝐚𝐝𝐚𝐥𝐚 𝐳𝐚 𝐤𝐮𝐤𝐮𝐳𝐚 𝐤𝐢𝐩𝐚𝐭𝐨

𝐀𝐜𝐡𝐚 𝐦𝐚𝐧𝐮𝐧𝐠'𝐮𝐧𝐢𝐤𝐨 𝐟𝐢𝐤𝐢𝐫𝐢𝐚 𝐭𝐚𝐫𝐚𝐭𝐢𝐛𝐮 𝐤𝐚𝐛𝐥𝐚 𝐲𝐚 𝐤𝐮𝐚𝐜𝐡𝐚 𝐤𝐢𝐭𝐮. 𝐓𝐡𝐢𝐧𝐤 𝐰𝐢𝐬𝐞𝐥𝐲 𝐚𝐧𝐝 𝐜𝐨𝐧𝐝𝐮𝐜𝐭 𝐞𝐧𝐨𝐮𝐠𝐡 𝐫𝐞𝐬𝐞𝐚𝐫𝐜𝐡 𝐛𝐞𝐟𝐨𝐫𝐞 𝐥𝐞𝐚𝐯𝐢𝐧𝐠.

𝐊𝐰𝐚 𝐦𝐚𝐞𝐥𝐞𝐳𝐨 𝐳𝐚𝐢𝐝𝐢 𝐧𝐣𝐨𝐨 𝐏𝐌
 
Ukiona hivyo siyo wito wako au hauko competent unategemea kutumia masaa mengi kumeza madesa ya kufundishia, unachosoma kwa ajili ya kufundisha wanafunzi hakiwezi kuwa mzigo maana tayari unaelewa mambo kwa undani zaidi labda shida inakuwa pale wengi mnaoenda kusomea ualimu mnakuwa na ufaulu hafifu katika masomo yenu, hapa ndo tatizo linapokuja, tungekuwa serious watu wenye ufaulu wa juu kuzidi wote ndo walitakiwa wasomee ualimu.​
 
Mwalimu yyte ili uwe competent
Lazima usome , nakwambia ivi lazima usome tena mara kwa mara .labda ualimu wa government huko ambako nobody cares unachofundisha darasani lakini private you must read. Hamna cha sijui mwalimu failure wala nn, hata vyuo vikuu maprofessa wanasoma constantly.jidanganye!
 
Hii fact itunzwe. Chukua maua yako mkuu.
 

Labda kama ni intrest ya mwalimu husika au mpangilio mbovu wa ratiba za mwl husika mwisho wa siku lazima uwe na muda ufanye mambo mengine.
mkuu we ni mwalimu ? Umeshawai kufundisha kayumba? Yenye mikondo mpaka f?
 
Ualimu sio kazi ngumu


Shida Ni kwamba, maslahi hayaendani na kazi husika


Kwa maneno mengine, kazi ni kubwa kuliko maslahi

Hata hivyo private ambazo zipo serious, ualimu haujawahi kuwa rahisi 😂😂


Maana walimu wanapigishwa mchakamchaka hadi kero


In short ualimu kwa Tanzania ni changamoto
 
99.4%

Hakuna mtoto wa kishua aliyesomea ualimu
 
No offense.

Walimu kama nyie ndiyo mnasababisha watoto wanapata matokeo mabovu katika shule zetu za St. Kayumba na approach zenu za kibinafsi.

ACHA UVIVU
Ndio ualimu wa kidigital


Ukifaulishwa utatukanwa na ukifelisha utatukanwa


Bora ufanye rahisi mambo yaende


BORA WAFELI WANAFUNZI KULIKO KUFELI MIPANGO YAKO
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…