Nadhani PDF itatoka,kwa wale walioomba Polisi,itajulikana ni FaFaFa au nini?Mbona kajitahidi sana. Hawa ndugu zetu si inasemekana ni Fa Fa Fa...kwa hiyo nampa hongera kajitahidi.
Mkuu Mungu ndio mweza wa yote. Sisi tulishawahi pata ajali pale karibu na mto Wami Busi ilivingirika kama mara tano hivi na ikawa nyang,anyang,a lakini tulipona wote isipokuwa wanawake wawili walitenguka kiuno na mkono tu lakini ukiiona Busi iliisha kabisa. Mungu ndio mpangaji wa yote.Ila naangalia uhalali wa pedestrian kupona ni ngumu, taarifa ya polisi ni batili
SawaBinti karipoti vizuri na imeelewaka vyema. Au wewe ulitaka aandike tamthilia?
Sawa.Polisi katoa taarifa imeeleweka sana. Sasa sinii wewe ulitaka aandike tamthilia?
NdioSitumekubaliana tunaangalia grammar tu jamani mengine tumuache kamanda
Harari sana mzee, imenifikirisha sana.Yule lazima amekufa kwa kishindo kile ...kama Rav 4 tu imepigwa mpaka imechanganyikiwa ikaenda simamia petrol station na dereva kutoroka akiwa amevunjika mguu
Mkuu hebu fafanua ukipata ajali unafidiwa kivipi na bahati mbayaAkomae atalipwa pesa ndefu tu
Kama kapona lakini
Ova
Basi kuna uwezekano jamaa ali survive ,kama kafa amefia hospital,maana engine ndio mbaya ikimpiga
Real?! Ana Mungu aliyehai. Ile kila mmoja ilimpa mstuko.Jamaa alikutwa Msamvu Moro akiwa na kiatu kimoja na shati lina rangirangi ya mwendokasi na vumbi lakini liko nusu.
Sasa badala wampeleke Hosp wanamshangaaJamaa ni mahututi. Nimeiona hii video Twitter.
⚠️⚠️
Huyo jamaa si ajabu zaidi ya 10mins alikuwa hapo chini badala ya kuwahishwa hosp 😌Jamaa ni mahututi. Nimeiona hii video Twitter.
⚠️⚠️
Afande Shani alitaka kutuingiza chaka, nimempigia kaweka barred call [emoji1]CCTV Camera imemuumbua afande asubuhi na mapema
Ndio namfahamu personallyUnamhahamu?
[emoji3064][emoji3064][emoji24][emoji24]
Jamaa alitaka kimbia akaona hatapona bora ajiweke kando
Kama unatetea uandishi wa Shanni inasikitisha sana. Mkuu ni kweli kila taaluma ina uwasilishaji wake lakini taaluma ya upolisi kama moja ya matawi ya taaluma ya sheria haina uwasilishaji wa hovyo hivi.Kila taaluma ina uwasilishaji wake ulitaka aandike kama bar vicha anatoa tamko
USSR