She is Comes?All in all she's comes from a wealthy family
Ndo nini mwanachuo!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
She is Comes?All in all she's comes from a wealthy family
Ukiachana na ile mambo yako ya upinde sometimes huwa unaandika pointYaan mtu aache kuhudhuria vipindi Chuo, kisa kuachwa na BF?
hicho ndo alicho endea huko Chuo? Dooooh
Msibaa huu, [emoji22][emoji22][emoji22]
Vilikuja na meli, tuvumiliane na hizi lugha za kikoloniShe is Comes?
Ndo nini mwanachuo!
Kama wazazi wako.wanahangaika kutafuta hela usidhani ni wote 😂😂Japo ukute wazazi/walezi wake wanahangaika na kumpambania binti yao wakijua huko chuo anasoma kwa bidii ili pengine aje kuwa mkombozi wa wengine...🤨 kumbe limtu lilienda chuo kutafuta boyfriend, na wewe rafiki yake unaona upo sawa kabisa eti unawalaumu wanaume na yena unamuombea msaada..☹️
Bladi hell....😕
Umesema mama ako atakuonea huruma je mama ako sio mwanamke?Wanaume: mnaona mwanamke akiumizwa kihisia anavyosaidiwa? Dunia nzima itambembeleza na kumpa sapoti
Ila wa kiume ukiumia kihisia: utakula matusi, utachekwa, utaitwa dhaifu, utataniwa sana. Ni mama yako tu atakayekuonea huruma, hata baba yako asikuonee huruma.
Usimuonee huruma mwanamke. Hiyo ni kazi ya umma. Usifanye maamuzi ya kihisia kwa kumuonea huruma. Protect yourself.
Maneno ya kuchamba unayo ila utashi wa kuelewa neno mwanamke limetumika katika muktadha tofauti kwenye sentensi moja huna?Umesema mama ako atakuonea huruma je mama ako sio mwanamke?
Halafu kwanini wanaume wa siku hizi mnawaonea sana wivu wanawake? hii inafikirisha sana🤔
Kukosa pesa kuna umiza zaidi.Mapenzi yanaumiza, mpe pole ❤️🩹