Msaada kwa wenye utaalamu na masuala ya dini je ni kweli Quran imeshushwa kutoka mbinguni?

Ulitaka umuone sasa hivi jibril akwambie kuwa iamini Quran? Hakuna kulazimishana kuamini...ukitaka we kufuru ila mwisho tutakuja kuona nani alikuwa katika njia iliyonyooka na nani atakayeangamia.
Watu walikuwa wakimuona shoga kalbi hawaelewi ndie jibril au ndie kalbi shoga

Kuna shoga mmoja alikuwa anaitwa kalbi alikuwa mrembo Sana , mara nyingi Muhammad alikuwa anakutwa nae chumbani kwake , Muhammad akaona isiwe tabu akawa akikutwa nae anawaaambia ni jibril kaja na umbo la huyo shoga

.................I did not know him more than any man among you. That was Jibril, peace be upon you, who came down in the form of Dihyah Al-Kalbi.'" Sunan an-Nasa'i 4991
 
Hay
Hayo mabano nimeweka ili kukurahisishia kuelewa nn kilimaanishwa. Hiyo aya iliteremshwa mara baada ya aliyekuwa kiongozi na mwanazuoni wa wayahudi walioishi katika mji wa Madina kwenda kufanya mazungumzo na Mtume Muhammad (pbuh). Huyo myahudi aliitwa Abdullah ibn salaam. Alifika kwa mtume akiwa ja maswali makuu matatu ili amjaribu nayo mtume kwani yalikuwa katika maandiko yao na hakuna yeyote ambaye angeweza kuyajibu isipokuwa mtu huyo ni Mtume wa Mungu...alivyouliza tu ,Jibril alishuka kutoka mbinguni kumwambia majibu Mtume...na mtume akasema Jibril ameteremka sasa hivi kunipa majibu ya maswali yako...Abdullah ibn salaam kusikia vile akasema kuwa "Jibril ni adui mkubwa wa wayahudi" na Mikail ndiye rafiki yao......hapo Aya hiyo ikashuka kuwaonya mayahudi juu ya uadui wao wanaoutangaza dhidi ya malaika wa Mungu.
 
Kisayansi ni uongo eti qouran ilishuka kutoka mbinguni. Kwanza mbinguni zama hizo binadamu walijua ni juu zaidi tunakoona mwezi na nyota. Siku hizi tumejua mbingu ni kitu zaidi hakijatambulika ni wapi.
Tunapokuja kiroho ni masuala ya imani tu. Eti quoran ilishuka au kushushwa kwa aya kuteremshwa na kuandikwa na mtume au mtu mwingine kaandika kwa niaba yake. Kwa kweli ni mambo ya imani tu.
 
We jamaa siwezi kupoteza muda wangu kujadiliana na wewe.Maana upo hapa ukiwa na lengo ya kupotosha tu maandiko na unajua fika kile unachokifanya.

Dihya al-kalbi alikuwa ni swahaba wa Mtume Muhammad (amani iwe juu yake) hakuwa shoga kama unavyodai ila alikuwa ni handsome man among the people of madinah.

Jibril alikuwa akija kwa Mtume katika umbile la kibinadamu na hata maswahaba walishawahi kumuona katika umbile la Dihya al kalbi ila hawakumjua mpaka pale alipoondoka na Mtume akawatanabahishia kuwa yule aliyekuja alikuwa ni Jibril
 
Mabano yote ni Yako umeongezea , yaondoe mara moja
 
Hujalazimishwa kuiamini Quran ila mwisho jua kuna Pepo na Moto. Uchaguzi ni wako sisi kazi yetu ni kufikisha ili siku ya hukumu usije ukaleta hoja kuwa ujumbe haukukufikia
 
πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜‚ Jibril Kwenye umbo la handsome man Kalbi , jamaa lilikuwa li shoga na Muhammad alikuwa akikutwa nae chumbani anadai ni jibril , wanakijiji wakawa hawaelewi wakimuona kalbi wanasema jibril πŸ˜‚πŸ€£πŸ€£.

Ukijua maandiko ya waislamu ni Raha Sana hawawezi kukupotosha
 
Jibril alikuwa akija kwa Mtume katika umbile la kibinadamu na hata maswahaba walishawahi kumuona katika umbile la Dihya al kalbi ila
Nina ka swali ka nyiongeza
Mda jibril yupo kwenye umbo la kalbi wananchi wangemuotea wakamuuwa wangekuwa wamemuuwa jibril ?
 
Daaah mtu anauliza swali vizuri tu Kwa uwelewa wake wewe unaanza na matusi huoni ata aibu ndugu yangu waislam mbona hatufundishwi hivyo!
Wewe unadhani mleta mada ameileta kwa dhumuni la kutaka kujuwa kweli au ameleta ili awapate wenzie wamsaidie kuendeleza kebehi zake juu ya Qur-an? Wapo waliocoment kwa kebehi ambao wapo upande wa mleta mada,je umeona mleta mada ameshuulika nao kuwakemea kama dhamira yake ni ya kweli anataka kujuwa alichouliza? Hawa jamaa wkishashiba na kuvimbiwa huwa wanakuja kwa style hizi za kuja kukebehi na dharau za namna hii,hakuna anetaka kujuwa kuhusu Qur-an zaidi ya unafik na chuki zilizo wajaa mioyoni mwao.Muhammad (S.A.W) alishawajibu ktk Qur-an (Lakumdinu kum waliadiin) Nyinyi mna dini yenu na mimi nina dini yangu, Hivyo basi kila mmoja abaki na dini yake anayoiamini,Acheni dharau kenge nyie!
 
Huna hoja wala ushahidi kuwa dihyah r.a alikuwa shoga! Ila sishangai kama mmeweza kuwazulia uongo mitume ya Mungu, ndo itakuwa wanafunzi wao???
 
Huna hoja wala ushahidi kuwa dihyah r.a alikuwa shoga! Ila sishangai kama mmeweza kuwazulia uongo mitume ya Mungu, ndo itakuwa wanafunzi wao???
Jiulize weka akili Yako huru
Kalbi alikuwa handsome man Kijiji kizima , Muhammad alikuwa anakutwa nae chumbani , anasema ni jibril kaja na umbo la kalbi

Kwa Nini Jibril aje na umbo la mwanakijiji ambalo linaleta utata ? Watu wakimuona kalbi hawajui ni jibril au kalbi why?
 
Muhammad (S.A.W) alishawajibu ktk Qur-an (Lakumdinu kum waliadiin) Nyinyi mna dini yenu na mimi nina dini yangu, Hivyo basi kila mmoja abaki na dini yake anayoiamini,Acheni dharau kenge nyie!
Kila siku humu waislamu wanasema ukristo sio dini , wewe madai ya kusema Pedo. Muhammad alisema mna dini yenu umetoa wapi?
 
KUNA SIRI NZITO SANA kuhusu Quran, NA DINI ya kiislamu, naeleza kifupi sana
Quran imetoka , kwa Allah mungu wa Muhammad (yule mwenye watoto watatu wa kike) , NA SIO toka kwa Mungu Yahweh, Mungu wa Israel...... Muhammad na wenzake waliandika Quran ili kuweza kuwashawishi wakristo na wayahudi kumuamini mungu wa kabila la muhammad, allah ndio maana mmeona wamekopi kopi stori za biblia, wamejaribu kumfananisha mungu wa Kabila lao afanane na Mungu wa Israel ili kuwashawishi wakristo na wayahudi waamini , Pale walipogoma kumuamini, sasa ili bidi PANGA LIANZE KUPITA , kama mnakumbula Yesu alitabiri kuwa mtauwawa kwa sababu ya Jina lake yeye YESU (KING OF KINGS) , Mtume Paulo alitabiri kuna malaika wa Mwanga atakuja kuwadanya wengi, ndiye yule aliye mtokea mtume wa allah Kuwaletea Quran, Quran imechimba mkwara kuhusu kui hoji hoji, ina vitisho vingi mnoo,,, ndio maana hawana Muda wa ku ihoji na anayepinga kitabu hicho ametishishwa mnoo,,,,the devil is very intelligent
Time to accept Jesus Christ who died for your sins
Na

Mtume wa mungu wao Allah alitabiri alisema

"The most awful name in the day of resurrection will be the man who calls himself king of Kings"

King of king is Jesus , no wonder allah himself is afraid of a man who calls himself king of kings

Waislamu na Wakristo lets keep on loving one another in the name of Jesus ( TRUTH SHALL SET US YOU FREE)

Christians are taught to love all people ...muslims always hate Christians & Jews

God is LOVE [emoji120][emoji120]PEACE in Jesus'NAME
 
Hakuna kitu chochote kilichoshushwa, hizo ni story tu.
 
Ndio ilidondoka Paaaa !!!! Kama kile kimondo Cha kule mbozi, NAKALA zote, na hakuna kiwanda duniani Cha kuzichapisha!!!! zinakaaga mioyoni πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„
 
Uongo mtupu. Hicho ni kitabu kama vitabu vingine. Kimeandikwa na waarabu wenye hekima zao ili kutunza na kulinda tamaduni zao.

Weusi tunaandaa kitabu chetu chenye tamaduni na mila zetu ambacho tutakifuata kama msingi wa wa dini yetu.

maana hizi dini za kigeni zinatuletea tamaduni na mila za kijinga na wanatukalilisha mavitabu yao eti yametoka kwa Mungu wakati ni uongo mtupu.
 
Waisrael gani mnao waongelea. Hawa wahuni kila siku wanaua wapalestina na wanaokalia ardhi ya watu kimabavu?
 


Luuuu, Huyo masihi ndiye Yesu??

Si Qur'an inasema mitume wote kabla ya Mtume mtukufu (saw) wamekufa?!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…