Hapo kuna Watalii Macho ya Dunia YANAPITA......Dunia Kijiji

Tumetangaza Royol Tour.....
Ngorongoro Multiple land....WaTanzania wanaishi huko kama Ukerewe

Huko siyo Taliban Mitutu siyo Sehemu YAKE...

Rethink!!!!
Sababu hii ni ya kiuoumbavu sana, hata chizi hawezi kusikiliza huu ujinga!
 

Hakuna kurudi nyuma muda wa kukomaa na udhwalimu ni sasa
 
Amebeba chakula cha kutosha na maji?au ikifika saa 4 usiku anaenda kulala hotelini?
 
Unaandaa Royal Tour at the same time una haribu image ya utalii kwa sababu na mbinu za kifala pale Ngorongoro ni wapumbavu pekee hufanya maamuzi ya namna hii.

Ifike hatua tuwe tunapima IQ ya mtu kabla hajawa kiongozi.
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…