Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
zito kabwe anatoka kuwa kiongozi wa chama na sasa atakua mwenyekiti wa chama...Mbowe, Zitto Kabwe, Shehe Ponda nk
Kati ya taasisi isiyo jua ina fanya nini hapa Duniani ni hii ya msajili wa vyama vya siasa TanzaniaOfisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa Nchini imevikumbusha Vyama ambavyo muda wa Uongozi wa Viongozi wake unakaribia kuisha, kufanya Uchaguzi wa Viongozi hao kabla ya muda huo haujaisha
Anatafutwa Mbowe hapoMbona msajili ana haraka sana, anaogopa kitu gani?
Kawakumbusha wafanye maana yake anajua huwa wanasahau, au inakuwaje?
Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
Na yeye si afuate utaratibuAnatafutwa Mbowe hapo
Zitto kabwe ameshastaafu Juzi Mbona Tayari atakuwa Member wa kawaidaZitto Kabwe
Mwenyekiti Yupo Mwabukusi Wala msiwe na ShidaMbowe si amuweke hata shemeji yake yoyote kuwa mwenyekiti!?.....ama basi hata babamkwe wake!....
Kuepuka hii kadhia ya chama cha kifamilia na kikanda!.... Ama anataka afie hapo!?
Deep down... Zitto Bado ni mmiliki wa chama!.... Hakuna ruzuku ya chama inayopitia bank... Inawezatolewa pasipo sahihi yake!Zitto kabwe ameshastaafu Juzi Mbona Tayari atakuwa Member wa kawaida
Ndo tatizo la watu wa chadema, mwisho wa siku wanakuja kulialiaNa yeye si afuate utaratibu
Sawa lakini kisheria Ameachia NgaziDeep down... Zitto Bado ni mmiliki wa chama!.... Hakuna ruzuku ya chama inayopitia bank... Inawezatolewa pasipo sahihi yake!
Msubirini Mwenyekiti Mpya MwabukusiNdo tatizo la watu wa chadema, mwisho wa siku wanakuja kulialia
Utaratibu upi huo? Unamaanisha Mbowe yupo na nafasi yake kinyume cha taratibu?Na yeye si afuate utaratibu