Soma Wakorinto 1, 12:10.Ila sasa Kipimo cha Kuhakiki kama kaomgea na Roho wa Mungu ni kipi??
Najua kuhusu Unabii wake na nimemfatilia kwa ukaribu sana na namjua Vizuri lakini usisahau kuwa henda anafanya Utabiri tu na sio Unabii...Soma Wakorinto 1, 12:10.
Ndlovu alikuja na unabii juu ya kifo cha Magufuli 2019, baada ya mwaka na miezi kadhaa ikatokea. Kaja na unabii sakata la kuuzwa bandari August 2021 na jinsi itakavyoligawa taifa, imetokea.
Mimi ni nani niwe na mashaka na unabii wake?
Ndo nimesema mimi sina shaka na unabii wake; wewe mwenye mashaka ndiye uipime roho ya unabii wake.1 Yohana 4:1
"Lakini Wapenzi, msiiamini kila roho, bali zijaribuni hizo roho, kwamba zimetokana na Mungu; kwa sababu manabii wa uongo wengi wametokea duniani."
Wasiwatishe Wasanii wetu bhana Kila Mtu atakufadooh
Mkuu Samahani unafahamu Unabii uko wa aina ngapi??Ndo nimesema mimi sina shaka na unabii wake; wewe mwenye mashaka ndiye uipime roho ya unabii wake.
Lakini pia umsikilize vizuri. Yona alivyopeleka ujumbe wa maangamizi Ninawi, unabii wake haukutimia baada ya watu wa Ninawi kutubu na kumrejea Mungu. Unabii haukutimia si kutokana na Yona kutokuwa na roho wa Mungu.
I am out of this. Naona tutakesha bila kufikia muafaka.Mkuu Samahani unafahamu Unabii uko wa aina ngapi??
Kwa yona ilikuwa ni Taarifa na sio Unabii wa Utabiri wa yajayo kuwa dhambi zao zimefika Juu kwahyo wenyewe wakaacha na Kuomba na kufunga..
Huu unaitwa unabii wa Hukumu..
Unabii wa Hukumu Uko hivi..
Mfano:-
'Wauza Duka Wote wa Kariakoo Lazima wauwawe..
Kesho wauza Duka wote wa kariakoo wakaacha kuuza duka kariakoo na waka wakulima, Huwezi kudeal Nao kwa sabubu wamebadilika tena..
Ila wale watakaobaki kuwa Wauzaji wa kariakoo bhasi watauwawa...
Ni kama unabii kama wanaomini wakristo na waislamu kwamba Siku ya mwisho ulifanya mema utaenda Mbinguni/Peponi na ukifanya Mabaya utaenda Motoni..
So Ni kama kwa Yona..
Hukumu Ilipita kwa ajili ya Watenda Maovu lakini ghafla baada ya taarifa wakageuka kuwa watenda wema..
Sasa ulitaka Wapewe adhabu isiyo kuwa yao.??
Kumbuka freemason ilianza huko kitambo b4 TzShida wako Mchi tofauti na Sehemu tofauti ila utabiri ni Mmoja
Mzee Huna uelewa na Freemason sio kama unavyoiweka wewe 😅😅Kumbuka freemason ilianza huko kitambo b4 Tz
Hatari...Msanii Mkubwa Bongo Fleva atabiriwa kifo na Wachungaji kutoka Kenya na Zimbambwe
Sasa shughuli inabaki kwetu kama sio Ally bhasi ni Nasibu, maana ndiyo sifa walizotajwa nazo.
Nawatakiwa Asubuhi Njema
View attachment 2952828
Waga ni vuruguNa wakipatia huwa wana mbwembwe Utasikia Ooo raba shaka shakarabaaaaa Nilisema 🤣🤣
Huwa wanatabiri mazuri piaHawawezi kutabili mazuri??