Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😀😀😀😀😀😀😀fala nimechekaa snaaaWengine wameshapata notification, yaani Bora maza angewaambia watembee na Vaseline maana watumishi wametatuliwa malinda bila kilainishi.
Sijui maza ataongea nini aeleweke?😀😀😀😀😀😀😀fala nimechekaa snaaa
Picha bora ya siku😀Wameangukiwa na kitu kizito kichwani,poleni sana watumishi wa UmmaView attachment 2300021
kwani hela haijaongezeka??? 😀 😀 😀 😀Sijui maza ataongea nini aeleweke?
Watumishi wa umma wanategemewa na wapiga kura wengi kujikimu kimaisha kama vile wazee, wanafunzi wa vyuo na familia kwa ujumla, kwahiyo wana uwezo wa kuwashawishi wategemezi wao kubadilisha mwelekeo wa kupiga kura.kwa kifupi hata wafanyakazi woote wa umma waipigi kura chadema, namba yao ni ndogo sana, ni laki saba na ushee tu, hawana athari yeyote kwa ccm. kwahiyo, siku ccm ikiamua kuwachinjia baharini wanaweza wasizithamini kura zenu na hamtabadilisha chochote.
sawa imeongezeka, asilimia ngapi imeongezeka?kwani hela haijaongezeka??? 😀 😀 😀 😀
mama naamini yupo jf 😀 😀
Kelele zilivyokuwa nyingi kwenye majukwaa Yao... Wakiwaaminisha watanzania kuwa serikali inaongeza mishahara... Ulaghai wa kisiasa !!Mama alisema ataongeza kima cha chini kwa 23.3% kwa kima cha chini.
Ongezeko la bajeti ya mshahara mwaka huu ni 19.1%.
Hivyo basi kima cha juu kitapata si chini ya( 23.3+19.1)÷2=21.2%
Wafanyakazi kuweni wapole. Yajayo yanafurahisha