Mshahara umetoka, nyongeza ipo lakini lazima ucheke tu

Mshahara umetoka, nyongeza ipo lakini lazima ucheke tu

Mama alisema ataongeza kima cha chini kwa 23.3% kwa kima cha chini.

Ongezeko la bajeti ya mshahara mwaka huu ni 19.1%.

Hivyo basi kima cha juu kitapata si chini ya( 23.3+19.1)÷2=21.2%

Wafanyakazi kuweni wapole. Yajayo yanafurahisha
 
kwa kifupi hata wafanyakazi woote wa umma waipigi kura chadema, namba yao ni ndogo sana, ni laki saba na ushee tu, hawana athari yeyote kwa ccm. kwahiyo, siku ccm ikiamua kuwachinjia baharini wanaweza wasizithamini kura zenu na hamtabadilisha chochote.
Watumishi wa umma wanategemewa na wapiga kura wengi kujikimu kimaisha kama vile wazee, wanafunzi wa vyuo na familia kwa ujumla, kwahiyo wana uwezo wa kuwashawishi wategemezi wao kubadilisha mwelekeo wa kupiga kura.
 
Manake kwanza nicheke
20220719_171733.jpg
 
Mama alisema ataongeza kima cha chini kwa 23.3% kwa kima cha chini.

Ongezeko la bajeti ya mshahara mwaka huu ni 19.1%.

Hivyo basi kima cha juu kitapata si chini ya( 23.3+19.1)÷2=21.2%

Wafanyakazi kuweni wapole. Yajayo yanafurahisha
Kelele zilivyokuwa nyingi kwenye majukwaa Yao... Wakiwaaminisha watanzania kuwa serikali inaongeza mishahara... Ulaghai wa kisiasa !!
 
Back
Top Bottom