Objective football
JF-Expert Member
- Oct 21, 2023
- 1,195
- 2,771
Wakuu umesoma?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakuna kituWakuu umesoma?
Mshahara umetoka toka Saa sita mkuu... Sikutanii nko seriousWakuu umesoma?
Niko serikali kuu CRDB mpaka sasa mshahara hakunaHapana kaka angu sijadangany Jana nimepata Maokoto Ya mshahara Nashukuru Mungu ila wangeongeza siku ningekufa...
Ila wengine wa NMB wamelipwa leo kwa halmashauri yetu na wote wameshalipwa kwetu sasa sjui kwa halmashauri yako uliza kwa watu wengine unaowafahamu mshahara jana ulitoka
Huku hakuna kitu hadi muda huuMshahara umetoka toka Saa sita mkuu... Sikutanii nko serious
Tuendelee kunywa maji mengi, hili ni doso la uvumilivu.Hakuna kitu
[emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Tuendelee kunywa maji mengi, hili ni doso la uvumilivu.
namvizia dingi aniazime hata teni
financial servicesI swear to God, Mshahara ukiongezeka even another single day Nafwa jamani.
Ni shida kutegemea mshahara Ajitokeze jamani mtu uwiiiii mshaharaaa nafwaaa mimi.
Mshaharaaa uwiii
mwarabu anatutesaNiko bandarin tumeshapewa mpaka wa mwezi wa 1
Sasa hao wengine wanaosema wameshalamba asali ni serikali ipiTuendelee kunywa maji mengi, hili ni doso la uvumilivu.
namvizia dingi aniazime hata teni
Kuna mwanajeshi umeona au ndio unafikiriwanajeshi wamepewa toks jana nafikiri hawa ambao wanasema wamepewa ni askari ila sisi wa halmashauri ngoma ngumu
kuna rafiki yangu mwanajeshi amepata jana na nilimkopa
Anhaaa Tamisemi tumepata siku nyingi huenda serikali kuu kuna shidaNiko serikali kuu CRDB mpaka sasa mshahara hakuna
Sent from my Infinix X6517 using JamiiForums mobile app
Kakudanganyakuna rafiki yangu mwanajeshi amepata jana na nilimkopa
Hapana wengi wamepata na tumepata mkuu me nimepata na na nikoserious kuhusu hilo