Tuliza wenge utapata mtu atakusaidia hii jf ina watumiaji wengi sana, sasa wewe unataka leo leo au ?? just cool calm down
Katingishwa kidogo kafuta namba wakati wanaomweleza afute namba wamechukua namba na wana plan zao Binti hajui anataka nini wenge limemshika kila anapogusa anaona km kagusa Moto balada atulie tu mambo yanajiset yenyewe anakua na paparapupa
 
Drop your number Pm kama upo tayari kufanya kazi kwa malipo kidogo kwa siku.
 
Kwa mujibu wa maelezo yako wewe tayari unakazi. Ukitumia hivyo ulivyonavyo, hautataka kuajiriwa bali kuajiri
 
TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI

Anahitajika RECEPTIONIST

VIGEZO
Awe jinsia ya kiume
Umri ( Asizidi Miaka 30)
Awe na elimu ya Certificate au Diploma course yoyote
Awe na good customer care
Awe mwaminifu
Awe anaweza kutekeleza majukumu yake kwa ufasaha

MAENEO YA KAZI
Mkoa wa Kigoma
(Kigoma mjini)

MAWASILIANO
0745966232
0679190103 (WhatsApp )

Asante
_________________________
Kwa mara ya kwanza naona Vijana wa kiume wanapewa upendeleo au nisema kipaombele kwenye kazi km hii yaan hapo kogezo uwe wa kiume Wanawake mmewafanya nini maboss?
 
GGM wametangaza nafasi za internships Finance ingia uombe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…