Mstaafu wa Jeshi atuhumiwa kuua kwa risasi kisa mgogoro wa mipaka

Sasa mtu wa miaka 71 unagimbania mpaka wa nini!!??
wakati jioni imeshafika
 
Unafanyajje mauaji alafu unakamatwa kizembe hivo Ani maiili Moja ndo kamaliza kujificha.. Tena former Tpdf
... Hahahh
 
Nimejifunza! Kumbe Uchawa nao ni Hatari...
 
Unatishwaje na raia? Chomoa cha moto maliza kazi, jamaa nalo jinga mtu ana cha moto unaanza kumwomba nipige uone, unakula ya kichwa, hiki kibabu nadhani kilikuwa kibodigadi cha Nyerere moja tu jamaa chali
Sasa ndio muda wa ile Puru yake Sealed ikatumike na wajuba wa huko magereza.
 
Hao Askari wasumbufu huko mtaani ujue walistaafu wakiwa na vumilia vumbi tu mabegani(V),Ni Mara chache Sana kukuta senior officer wa jeshi ana mambo ya kikuda.Hua wanajielewa sana.
 
Ukubwa wa eneo sasa linalogombewa
Utakuta vihatua 3,4 tu
Na siku zote ugomvi wa ardhi huwa mmbaya sana,kama watu hamuelewani iko siku ardhi hiyo hiyo
Itammeza mtu

Ova
ni kweli hii mm ikinitokea siku tukaitisha kikao pamoja n B mkubwa alikuepo na serikali ya mitaa
alichofanya bi mkubwa alimuuliza yule jirani yangu
mipaka yako iko wapi akaonesha akamuuliza mara tatu akaonesha mara 3
kumbe alikuwa kashamuandaa fundi akamuita fundi akachimba akachomeka zile bikoni ndefu za kufungia senyenge akaitia mpk nusu
kisha akatugeukia wote akasema mpk huo hapo na nyie wote mashaidi kesi ikaisha hapo

nilichukia sana jamaa kumega eneo letu ila akampa ushindi na kesi ikaisha
akaniambia MWANANGU hatua 2 kitu gani
BABAAKO tulokuja kununuaga wote kashakufa kaliacha mimi niliye HAI sina hata kazi nalo

Sasa umerithi wewe nawe utakufa atarithi mwanao
ikaisha hivyo
miaka kadhaa mbele watu wakamjengea mbele hana hata pakuhifadhi gari
gari yake anahifadhi kwenye uwanja wangu
huwa namuangalia tu anavyojichekeshachekesha
Watu wa bara wanapenda sana migogoro ya ardhi hasa kanda maalum na ukanda wa kaskazini

Sisi wazaramo ARDH ni kitu cha kawaida sana ROHO ya mtu ina thamani kubwa kuliko ARDHI
 
Hao Askari wasumbufu huko mtaani ujue walistaafu wakiwa na vumilia vumbi tu mabegani(V),Ni Mara chache Sana kukuta senior officer wa jeshi ana mambo ya kikuda.Hua wanajielewa sana.
Hadi akamiliki silaha alikuwa mtu mkubwa jeshini
 
Mtu unajua ni mjeda, anachomoa chamoto anakoki upo tu, mjinga sana, na hiki kibabu siajabu alishakitishia maisha, kikamfanyia timing kama kako vitani darfur
kwa hile video wameshtukizwa maana alikuja direct na kumpiga risasii
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…