......umeona ee?
....hahhaha, halafu jamaa wana hoji kwa hasira kweli badala ya kuchukua business ideas mbali mbali zilizomo humu.
Anyway, hamadi kibindoni, tunasonga mbele.
Heshima mbele mkuu Malila, umetufungua akili kwa mengi uliyotufunza humu.
Nataka kujaribu "kwa fujo" kilimo cha zao la ufuta kijijini Mkenge, (Between Kimazichana na Mkuranga.)
Unaweza kuifanya biashara hii hata kama unakaribia kwenda mbinguni, kule vijijini watu wanauza misitu yenye miti inayokaribia kuvunwa kwa bei ya kutupwa kabisa, unanunua kamsitu kako, na wewe unatafuta mnunuzi tena unauza au unavuna mwenyewe na unapata faida kubwa,na ukaachana na taabu za tra na ndugu zao. Na kama una vijana/wadogo zangu wafundishe kazi hii, kwa sababu haihitaji usimamizi wa kila siku, kwa mwaka mara moja tu basi. Sehemu kubwa ya mwaka miti inapogoma yenyewe huko shambani.
mkuu bei ya msitu iko vipi?
wajameni eeh, nimebahatika "kupata" mahala ka-Mtaji. Ni kiasi cha shs. milioni kumi tu, (10,000,000/=) za Kitanzania. Nipeni mapendekezo nizi invest wapi, kivipi na matarajio ya faida.
(i.e biashara gani inalipa (plus location), kwa muda gani, na SWOT analysis zake)
Misitu inatofautiana umri,location na ubora pia. Wewe unataka msitu wenye miti ya umri gani?
pine kaka
Kuna pine eka 60 za miaka 2 kwa Tsh 300,000/ kule Mufindi, pia kuna eka 10 za pines miaka minne kwa Tsh 600,000/ kwa eka.
10m/= inatakiwa kwa siku iwe inazalisha sio chini ya 55,000/=, kwa wiki 385,000/=.
Biashara gani? Hapo naona ya chakula ndio poa, nafaka, lete toka mikoani, uza jumla, pia kuuza nyama buchani (bucha 2) zitatosha kabisa..
Location? Tafuta frame penye watu walio na kipato, upanga, oysterbay, msasani, mikocheni, ada estate, kilongawima, mbezi beach etc...
Mtaji utarudi baada ya mwaka plus faida (roughly + 20m/=)...
Kila la heri..
Nikiwa napita pita hpa,najionea jambo kubwa sana ambalo nilikuwa nalifikilia,
Mii binafsi ina taji wa milion tatu,nataka nikiwekeze kiasi hiki kwenye biashara,je wadau mwanishauri vip
wajameni eeh, nimebahatika "kupata" mahala ka-Mtaji. Ni kiasi cha shs. milioni kumi tu, (10,000,000/=) za Kitanzania.
Nipeni mapendekezo nizi invest wapi, kivipi na matarajio ya faida.
(i.e biashara gani inalipa (plus location), kwa muda gani, na SWOT analysis zake)