......umeona ee?
....hahhaha, halafu jamaa wana hoji kwa hasira kweli badala ya kuchukua business ideas mbali mbali zilizomo humu.
Anyway, hamadi kibindoni, tunasonga mbele.
Heshima mbele mkuu Malila, umetufungua akili kwa mengi uliyotufunza humu.
Nataka kujaribu "kwa fujo" kilimo cha zao la ufuta kijijini Mkenge, (Between Kimazichana na Mkuranga.)
Lima bila hofu,ile mitaa mizuri udongo wake uko vizuri. Mimi naingiza kuku wa kienyeji wa kutosha,nimefanya pilot imenipa moyo sana. Pembeni ni kambale kwa kwenda mbele.