Nyamgluu
JF-Expert Member
- Mar 10, 2006
- 3,160
- 1,726
Tulia kwanza usiweweseke. Inaonekana 10m hukuwahi kufikiri kuipata. Mimi nashauri kwanza usiwe na papara. Tulia kwa zaidi ya miezi 6. Nilishawahi kamata hela ndefu sana miaka michache iliyopita, papara niliyokua nayo ya kufungua biashara kedekede ili eti kuzidisha hela ilinimaliza tu.
This time around niko much wiser. Hata idondoke 500m sasa hivi, yani natulia kama mwaka tu hivi bila kuwa na kimbelembele labda itokea opportunity ya wazi wazi kabisa.
This time around niko much wiser. Hata idondoke 500m sasa hivi, yani natulia kama mwaka tu hivi bila kuwa na kimbelembele labda itokea opportunity ya wazi wazi kabisa.