Mtaji wa Milioni 5-10 (TZS): Biashara gani unaweza kufanya?

Msaad ndugu kuhusiana na HII TAASISI ya uwekezaji. kama uta jali nilikua nahitaji maleezo kidogo... plss pm or whatsup 0659666123
 

Mradi huu mpya ambao unaweza kuutumia kama njia ya uwekezaji mbadala utakufaa sana.
 
Zitoe sadaka ndugu, kisha fanya kazi kwa bidii Mungu atakupatia mara 70
 
Wadau huu uzi umenivutia ... Nina nia ya kuanzisha kiwanda kidogo cha mafuta ya alizeti ... naomba anayejua hili anipe ufahamu ..faida na hasara zake

Hebu share na mimi hapa kuhusu hiko kiwanda cha mafuta ya alizeti. Na shamba na michikichi yangu karibia 50.
Kwa sasa navuna na kutengeneza mawese kienyeji.
 

Unafanya/umejaribu green-house farming?


Source; MIRADI KWANZA: Getting Rich through Farming, Amazing findings!!
 

Hili la Zabibu nami nime lipenda, vipi mkuu una weza tupa mtiririko wa kilimo hiki cha zabibu?

1) Kwa maana ni saizi gani ya eneo litafaa kwa kupata faida ya kiasi au kubwa ?

2) ni eneo gani Dodoma lina stawi zaidi hasa kwa sisi ambao hatujawahi fika?

3) Ukodishaji wa shamba una kuaje ( gharama na muda wa Ukodishaji kwa kila heka)?

4) Bei ya zabibu kwa soko la ndani ikoje?

POLE kwa Swali refu Mkuu, tuna tamani kuwekeza, na uwanja huu ndio pa kujifunzia.
 

Malila , ushauri unapatikana inbox? Hasa ukizingatia nami naitafuta hiyo a Milioni nianze kufuata nyayo zako
 
Kaka upepo wa biashara sasa hivi nchini sio mzuri kabisa. Mie nakushauri ununue eneo lililopimwa na lenye hati kisha utulie baadae unaweza ukajenga hapo au kuuza na kupata faida kubwa maana ardhi kila siku inapanda bei. Kufanya biashara huku unafanya kazi ni ngumu sana maana utakosa usimamizi mzuri na kufaidisha hao utakaowapa ajira tu. Hiyo hela ni ndogo ila unaweza kununua kiwanja au hata viwanja viwili vitakavyokuja kukutoa sana baadae na pia hata na wewe ukaja kuwaachia urithi wanao
 

Aisee.Umenikumbusha Miaka Iyo Wakati Nasoma Financial Management.Nilisoma Kitu Kinaitwa Portfolio Investment.
"Don't put all Eggs Into One Basket" Adi Mifano Yako Uliyotoa..
Aisee
 
hiyo simpo endi klia. fungua duka la kuuza vifaa/matilio ya maiti maana watu kila siku wanakufa, kwa hakika hutalala njaa hadi unaingia kaburini. uza SANDA, JENEZA, PAFYUMU ZA MAITI, MAJI YA ZAMZAM nk, hapo mwaka wako ni mmoja tu unaanza kutembelea HAMA, CLUZA, PLADO, eksetla. ZINGATIA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…