Wangari Maathai
JF-Expert Member
- Aug 13, 2018
- 34,962
- 70,576
Fungua hata duka la spea za pikipiki na Mashine ndogo za kumwagilia bwashee mbona akili imelala sana
Tena kwa hiyo m10 utakuwa na kila spea kwenye duka lako kuanzia boxer toyo na pikipiki kubwa
Ukituliza ubongo huo mtaji n mkubwa sana na unabaki alafu ili unogeshe zaidi jaribu kwenda mikoani achana na dar hapo wajanja wengi
Hahahaha! Haya banaNdo nayofanya mpka sasa na kautapeli kidg..siku zinaenda mkuu
Au umeona kilo 1000 ni nyingi Sana mkuuMadame ulishawahi motivation speaker
Hamna, hizo kilo elfu moja ni za kawaida tu,Au umeona kilo 1000 ni nyingi Sana mkuu
Karibu nikufundisheππ....sikunzote siandiki mradi..ukiona naandika kitu bas nakifanyaHahahaha! Haya bana
Asante! Sana.. NitakaribiaKaribu nikufundishe[emoji3][emoji3]....sikunzote siandiki mradi..ukiona naandika kitu bas nakifanya
Unazingua bossMadame ulishawahi motivation speaker
[emoji2] [emoji2] [emoji2]Ndo nayofanya mpka sasa na kautapeli kidg..siku zinaenda mkuu
Tulia kamandaUnazingua boss
Ni wapi huko wanauza gunia la pumba alfu kumi? hata kama ni mkoani lakini uhalisia si bei hiyo.Fanya biashara ya vyakula vya mifugo. Mfano, Nenda mikoani nunua pumba za mahindi elfu 10 kwa gunia, fikisha Dar uuze kwa elfu 40 kwa gunia au zaidi
Hujui huyu dada hustle mpaka mafia karanga biashara kipindi usafiri majahaziTulia kamanda
Maisha hayapo serious kiivo, kama unavodhani
Ila ya umotiveshono nafikiria zaidi kufanya ..unabwabwaja vitu ambavyo hujawahi fanya waja waaingia kingAsante! Sana.. Nitakaribia
Nakuona upo full nondo
Pale nilikua nakuzingua tu.
Hii mada au uzi huu ni mchanganyiko tosha! Anataka asaidiwe namna ya kutumia 6M kufanya biashara na biashara gani au anataka aelezwe namna ya kukopa akiwa mtumishi au yote!? Fafanua tafadhali.Msaada wenu wa mawazo unahitajika.
Kwa mtaji wa milioni sita anaweza Fanya biashara gani, ni mtumishi, anataka kuchukua mkopo.
Naomba kuwasilisha
Pumba elfu 20 ikishuka 18 jamaa anazinguaNi wapi huko wanauza gunia la pumba alfu kumi? hata kama ni mkoani lakini uhalisia si bei hiyo.
Mkuu,Kuna Location ambayo unaweza kuwekeza kama TZS 3-7 Milioni kwa biashara na unaweza pata faida nzuri sana.PMWafanya biashara naomba mawazo yenu katika hili, kichwa cha bahari kinajitosheleza.