Wangari Maathai
JF-Expert Member
- Aug 13, 2018
- 34,962
- 70,576
Fungua hata duka la spea za pikipiki na Mashine ndogo za kumwagilia bwashee mbona akili imelala sana
Tena kwa hiyo m10 utakuwa na kila spea kwenye duka lako kuanzia boxer toyo na pikipiki kubwa
Ukituliza ubongo huo mtaji n mkubwa sana na unabaki alafu ili unogeshe zaidi jaribu kwenda mikoani achana na dar hapo wajanja wengi
Mkuu...kwamba? Na chenji inabaki? 10m ni hela ndogo ujue