Mtaji wa Milioni 5-10 (TZS): Biashara gani unaweza kufanya?

Mtaji wa Milioni 5-10 (TZS): Biashara gani unaweza kufanya?

Tajiri yangu nakuelewa sana usemayi..Sumri ni tajiri...narudia tena yule sio mwenzetu na mie wakulima eka 5/sijui..
Mie nimelima kwa passion kbs...! Sio hela ya mawazo...changamoto zilizop shambani ni mob..kwanza madawa feki..unapiga dawa unajua unaua flies kumbe dawa feki..ukirud wanakubadilisbia bila hiana

Mie sijawah pata mazao mabovu hata sku moja...sijui nikuelzeje...nilipewa wataalam kbs toka hapa sua...sheshe liko sokoni...usiniambia sijui sikutarget soko...mie labda jamii za kunde ndo ntashindwa kukuelezea...unafika sokoni na zao lako kuna gar km 20!
Ukijifanya wewe mjanja wanakutazama tu...kifup madalali wana umoja wa ajabu...!utarudi pale pale tu ! Kuna group tuliamua kuanzisha kupinga san madalali kuna mtu mmoja yuko humu alikua kinara tuwakatae madalali tutafute soko wenyewe..hehhe...ikabounce!we mtu una eka 5 unajigamba unapeleka kenya??/...labda km hujui mahesabu vzr!unahangaika siku 90 unakuja ambulia 300k faida..hapana!.bora ununue mazao uuze! Kilimo kina changamoto nyngi sana esp Tz!kuanzia mbegu had madawa!
Sumri unajua analima ekari ngap??jifananishe sasa na ww!
[/QUO umelezea vizuri hasa juu ya soko na madalali waangalie hivi hivi. Na kitu kingine unalima ukiwa ujui mwisho sokoni utakutana na bidhaa Kama yako nyingi tu itakayopelekea wewe uendane na bei ya soko ya wakati huo hapo hujaangalia changamoto ya mbegu madawa na matumizi kibao ya kule shambani
 
Habari za wakati huu..

Nimekuja kwenu wazoefu wa biashara hapa jijini Dar.

Nina mtaji wa sh mil 7 ambao nataka niuingize kwenye mzunguko. Ningependa kupata mawazo yenu wadau ni biashara ipi inaweza niiingizia faida ya sh 30,000 kila siku.

Kwa upande wangu nina waza kuanzisha sehemu ya kuuza chakula kama chips hivi.

Nahitaji msaada wenu wandugu maana nampango wa kuanza hii biashara mwisho wa mwaka huu
 
Habari za wakati huu..

Nimekuja kwenu wazoefu wa biashara hapa jijini Dar.

Nina mtaji wa sh mil 7 ambao nataka niuingize kwenye mzunguko. Ningependa kupata mawazo yenu wadau ni biashara ipi inaweza niiingizia faida ya sh 30,000 kila siku.

Kwa upande wangu nina waza kuanzisha sehemu ya kuuza chakula kama chips hivi.

Nahitaji msaada wenu wandugu maana nampango wa kuanza hii biashara mwisho wa mwaka huu
Embu nenda kwenye jukwaa la waweka mikeka na kubet uone kama laki tuu haijakupa hiyo faida kwa siku
 
M
Mkuu tupo kwenye msiba lakini bado unataka kutapeli!? [emoji848][emoji848]
Mkuu Sina mpango huu me nimeitoa ktk group fln hivi.... Ukienda huko ukitapeliwa shauri yako. Ndiyo maana hujasikia nimesema njoo inbox Wala hakuna namba yangu.... Kuna ushauri wa kununua mpunga pale juuu mbona hujasema Kama namtapeli?
 
  • Thanks
Reactions: Pep
jaman jaman atapigwa mtu hapa sasa hivi,hakunaga faida ya mayai duniani
 
Nenda na hiyo hiyo biashara ya chips.
Kama ni dar nipe tender ya kupika pilau na biriani na ijumaa.
Karibu sana mkuu.... nikiwa tayari nitakutaarifu maana nipo kwenye kufanya utafiti na nahangaikia sehemu yenye uwezekano wa kurudisha hela kwa haraka
 
  • Thanks
Reactions: amu
Karibu sana mkuu.... nikiwa tayari nitakutaarifu maana nipo kwenye kufanya utafiti na nahangaikia sehemu yenye uwezekano wa kurudisha hela kwa haraka
Na ukifanikiwa kuanza biashara ya chipsi naomba niwe nakuuzia viazi.Nina viazi vizuri Sana kutoka njombe aina ya CAP,hutojuta chipsi zake Tamu sana.Kwa ufupi ukipata eneo zuri chipsi ni biashara nzuri inalipa.
 
Na ukifanikiwa kuanza biashara ya chipsi naomba niwe nakuuzia viazi.Nina viazi vizuri Sana kutoka njombe aina ya CAP,hutojuta chipsi zake Tamu sana.Kwa ufupi ukipata eneo zuri chipsi ni biashara nzuri inalipa.
Gunia unauzaje chief
 
Acha uoga utapeli pia ni kazi
M
Mkuu Sina mpango huu me nimeitoa ktk group fln hivi.... Ukienda huko ukitapeliwa shauri yako. Ndiyo maana hujasikia nimesema njoo inbox Wala hakuna namba yangu.... Kuna ushauri wa kununua mpunga pale juuu mbona hujasema Kama namtapeli?
 
Back
Top Bottom