Pre GE2025 Mtangazaji wa ITV na Tundu Lissu hakika mmetutendea haki sisi watanzania kwenye kipindi cha dakika 45

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Nini kimetokea Appositle?
 
Media ya kufanya hayo ipo wapi! Watu wanapenda vijambo kama tamasha la Kizimkazi!
 
Well said
 

..sasa mbona yeye kaanza kuita wanaomkosoa UMBWA?
 
Duh!

Huu kweli ni "ushauri" mkuu 'Akilindogosana'. Kwa mwonekano wa harakaharaka, mtu anaweza kusema ni ushauri mahsusi; lakini ukichuka muda na kufikiri kwa kina, hiyo nikazi kubwa, siyo kazi ya kufanywa namtu mmoja. Hiyo ni 'programme' pana sana inayo hitaji maandalizi na mali katika utekelezaji wake.

Lakini ni rahisi kushauri. Kazi kama hii inahitaji utafiti kwanza, na kuwafikia walengwa kupata 'feedback' toka huko kabla ya utekelezaji wake. Huwezi kuingia tu hivi hivi bila kuwa na msingi wapi uanzie. Itakuwa sawa na kuanzisha tu biashara yoyote na popote, mradi tu unao mtaji, bila ya kujuwa kama soko la bidhaa yako lipo.

Hasa hilo kundi unalo shauri lilengwe, ni kundi moja gumu sana; kwa sababu mablimbali; kuna mmoja humu kisha sema "attention" ya wengi katika kundi hilo kwa jambo lolote inadumu kwa masaa tu!
Elewa pia kuwa kundi hili hili ndilo huwa halipigi kura kabisa!

Hata hivyo, nakupongeza sana kwa kuwa na ushauri ambao kwa hali ya kawaida mtu ange dhani hiyo ndiyo njia nzuri ya kuwatia hamasa hawa watu.
 
Sawa aanze hata sasa hivi kupost clip ya dakika 1 mpaka 2. Inatosha kupeleka moto 🤣🤣. Na wasanii wakitoa challenge za nyimbo mpya na yeye acheze, na masuala ya mpira na yeye ashiriki hata kutoa comment mtandaoni.
Ninakubaliana na ushauri wako, lakini hiyo iwe ni kazi ya chama, siyo kazi ya Tundu Lissu.
 
bila michango kwanza sijui kama inawezekana 🐒
LOOooooh!
Naona wewe mwenyewe umelainika kabisa mkuu 'Tlaatlaah' jinsi ulivyo kogwa na mahojiano haya aliyo fanya Tundu Lissu kiasi kwamba ingewezekana ungeungana naye katika mapambano ya kuwaondoa madarakani CCM, au siyo!

Usihangaike kujibu, mezea tu hayo mawazo moyoni mwako.
 
Mimi namkubali sana Odemba wa Star TV mwamba anajua kuhoji maswali yenye mashiko hakupi mda wa kudanganya akikuona unaokoteza majibu anakuchapa lingine.
Hana skills na he is impatient , hana reasoning wala listening skills . Most of his interviews are boring
 
Na katika pumzi hiyo hiyo, udanganyifu na ulaghai ndio yawe halali au siyo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…