Bush Dokta
JF-Expert Member
- Apr 11, 2023
- 24,831
- 45,154
Nini kimetokea Appositle?Ukiendelea hivi, hakika tutajadili haya maswala ya nchi yetu vizuri.
Kumbe wakati mwingine akili inakurudia na kuwa sawasawa?
Basi nakuomba tafadhali baki hivyo hivyo, tutajadili kwa utulivu kabisa hatma ya nchi yetu hii.
Lakini ukweli unabaki pale pale. Samia ndiye atakuwa kiongozi wa mwisho wa CCM kama tunavyo ijuwa.
Tutaacha kumulaumu yeye, kwani amekuja kumalizia kazi tu iliyo anzishwa na watangulizi wenzake, ukiondoa waasisi wake.
"Nini kifanyike"? Unadhani hilo ni swali tena wakati huu. Mbona utakuwa umechelewa sana kuuliza swali hilo.
Media ya kufanya hayo ipo wapi! Watu wanapenda vijambo kama tamasha la Kizimkazi!Tundu Lisu anatakiwa kwasasa akiwa na media tour waandishi waulize maswali mengi yanayohusu maswala ya sheria sheria kuliko ya chama chake
Huyu ni mtu muhimu sana anayeweza kufikisha ujumbe kwa wananchi wa kawaida na kuweza kuwafungua wajitambue na kutambua haki zao
Nimsaada mkubwa sana kwenye elimu ya uraia na sheria, maswali yakilenga "engo" hiyo yatawasaidia wengi halafu hayo ya chama chake atayaeleza kwenye majukwaa ya kisiasa
Well saidTundu Lisu anatakiwa kwasasa akiwa na media tour waandishi waulize maswali mengi yanayohusu maswala ya sheria sheria kuliko ya chama chake
Huyu ni mtu muhimu sana anayeweza kufikisha ujumbe kwa wananchi wa kawaida na kuweza kuwafungua wajitambue na kutambua haki zao
Nimsaada mkubwa sana kwenye elimu ya uraia na sheria, maswali yakilenga "engo" hiyo yatawasaidia wengi halafu hayo ya chama chake atayaeleza kwenye majukwaa ya kisiasa
Usituharibie uziLazima ajifunze maturity ya siasa
Lisu ana tatizo gani, yeye alikuwa anajibu maswali ya muongoza kipindi. Anzisha kipindi chako umuhoji hizo hoja mpya.Lissu aje na hoja mpya sio Kila siku hizo hizo
Wengi wetu tunasahau haraka sana....
Mh.Rais alishawahi kupata kusema "nikosoeni mtakavyo" ila MSITUKANE...kwani kwa waafrika matusi si uungwana na heshima ni jambo la kiutu na la lazima[emoji7]
#Nchi Kwanza[emoji7]
#Mh.Rais SSH raia nambari moja[emoji7]
Hayo yalikua mahojiano sio mkutanoLissu aje na hoja mpya sio Kila siku hizo hizo
mgeni huyo nafikiri analopoka tuuLisu ana tatizo gani, yeye alikuwa anajibu maswali ya muongoza kipindi. Anzisha kipindi chako umuhoji hizo hoja mpya.
Hahaha.......Daah ulivyomshushuaUsituharibie uzi
Which is which?Lazima ajifunze maturity ya siasa
Duh!Ushauri kwa Tundu Lissu, Kama yupo serious anataka urais, asisubirie kuzunguka kwenye majukwaa na vyombo vya habari. Na yeye awe updated kwenye mitandao ya kijamii awe anatoa clip fupi za dakika 1 mpaka 2 anapost mitandao yote ili kuwafikia vijana. Hasa Instagram (Instagram reels, instalive), Whatsapp channel, Telegram Channel, Youtube Channel, YouTube shorts, Facebook, TikTok, TikTok video, TikTok live. Awalenge zaidi vijana hasa hali ngumu ya kiuchumi na ukosefu wa ajira. Awe anapost kila siku consistently bila kuchoka.
Ninakubaliana na ushauri wako, lakini hiyo iwe ni kazi ya chama, siyo kazi ya Tundu Lissu.Sawa aanze hata sasa hivi kupost clip ya dakika 1 mpaka 2. Inatosha kupeleka moto 🤣🤣. Na wasanii wakitoa challenge za nyimbo mpya na yeye acheze, na masuala ya mpira na yeye ashiriki hata kutoa comment mtandaoni.
LOOooooh!bila michango kwanza sijui kama inawezekana 🐒
Ni dhamb hata kuwa na wazo la kumfananisha Tundu na Mwashambwa 1M ni dhamb kubwa saana.
Hana skills na he is impatient , hana reasoning wala listening skills . Most of his interviews are boringMimi namkubali sana Odemba wa Star TV mwamba anajua kuhoji maswali yenye mashiko hakupi mda wa kudanganya akikuona unaokoteza majibu anakuchapa lingine.
Na katika pumzi hiyo hiyo, udanganyifu na ulaghai ndio yawe halali au siyo?Wengi wetu tunasahau haraka sana....
Mh.Rais alishawahi kupata kusema "nikosoeni mtakavyo" ila MSITUKANE...kwani kwa waafrika matusi si uungwana na heshima ni jambo la kiutu na la lazima[emoji7]
#Nchi Kwanza[emoji7]
#Mh.Rais SSH raia nambari moja[emoji7]
Nilikuwa sijaona neno million, kidogo nikushukie kama mwewe
Kwani hoja zake za zamani zimejibiwa?.Lissu aje na hoja mpya sio Kila siku hizo hizo