Ushauri kwa Tundu Lissu, Kama yupo serious anataka urais, asisubirie kuzunguka kwenye majukwaa na vyombo vya habari. Na yeye awe updated kwenye mitandao ya kijamii awe anatoa clip fupi za dakika 1 mpaka 2 anapost mitandao yote ili kuwafikia vijana. Hasa Instagram (Instagram reels, instalive), Whatsapp channel, Telegram Channel, Youtube Channel, YouTube shorts, Facebook, TikTok, TikTok video, TikTok live. Awalenge zaidi vijana hasa hali ngumu ya kiuchumi na ukosefu wa ajira. Awe anapost kila siku consistently bila kuchoka.