Daud Bashite kamshauri mtukufu waachie watanzania hasa wa Dsm waambukizane kwa wingi wafe kwa wingi wapate kisingizio cha kuahirisha uchaguzi mkuuHakuna sehemu iliyosongamana kama Mbagala, fanyeni utafiti muone ya Corona uko, Kama kuna athari.
Sent using Jamii Forums mobile app
Naibu Rais Daud Bashite katumwa na mtukufu awatangazie corona hakuna ndiyo maana barakoa sasa zinavaliwa hovyo hovyo mara kwenye koo mara chini ya pua, wauza chips wauza matunda wauza mazio wote hawana barakoa CCM wameamua kuachia ili watu waambukizane wafe kwa wingi wapate kisingizio cha kuahirisha uchaguzi mkuuMkolomije katangaza.....unampinga??🙂
Everyday is Saturday.........................😎
Hasahasa yule boya aliye jificha.mwambie arudi corona ni kagonjwa kadogo tu.Corona ni mafua tu Sema kuna watu walijazwa uwoga na media za Mabeberu
Harudi Dsm mpaka lengo lao la kuona watanzania wamekufa kwa wingi litimieHasahasa yule boya aliye jificha.mwambie arudi corona ni kagonjwa kadogo tu.
Kwa hiyo yule aliyelikimbia jiji na kujificha chattle kakimbia kutokana ma media za mabeberuCorona ni mafua tu Sema kuna watu walijazwa uwoga na media za Mabeberu
Kakimbia kimbunga cha maiti pindi wakianza kuokotwa baada ya kuwaachia waambukizane kwa wingiKwa hiyo yule aliyelikimbia jiji na kujificha chattle kakimbia kutokana ma media za mabeberu
Mwenyemkoa wake ndio katangaza.Hivi sasa watu wengi wameacha kuvaa barakoa, wanashikana miili na wachache wanaweka maji ya kuosha mikono. Harakati za jiji zimerudi kama ilivyokuwa mwaka jana na hii ni baada ya kusikia kauli za viongozi zikiashiria hakuna maambukizi mapya wala vifo. Tanzania tumefanikiwa kuishinda Corona ndani ya muda mfupi sana, hii ni rekodi nzuri na inabidi tuwapongeze viongozi wetu. Nikiangalia mitaani kwangu watu wameisahau Corona ndani ya siku chache na maisha yamerudi kama zamani.
Swali, nani ametangaza kuwa Corona imekwisha?
Asante kwa maneno ya faraja lakini huku Arusha watu hawana habari ya Corona hakika ukipita mitaani uswazi ya huku unaweza kulia watu hawajali kabisaSalama yetu ni immune kinga ya mwili.Ipo video mtandaoni wataalam wanashauri vyema faida za mikusanyiko kubadilishana virus na bacteria kunaongeza kinga ya mwili, kinyume na kujitenga na kuvaa mask mtu anabaki na kinga zake mwenyewe hivyo kufanya mwili kuwa prone dhaifu kwa maradhi.Tusiogope corona tuboreshe lishe na kuwakinga wachache walio dhaifu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wachache waliofariki walikuwa na magonjwa nyemelezi mda mrefu
Hongera zipi? Kudhibiti maambukizi yapi? Watu hawavai barakoa, watu hawanawi mikono sasa, watu wanashinda vijiweni vibarazani makanisani misikitini misibani wameanza kusalimiana kwa mikono maambukizi yamekolea zaidi na zaidiMwenyemkoa wake ndio katangaza.
Lakini tuliambiwa tumsikilize waziri wa afya na PM tu ikizidi mzee magu mwenyewe.
Kwahiyo hongera kwa serikali ya awamu ya 5 kwa kudhibiti maambukizi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu ni kweli tutakufa kama minyoo imemwagiwa tindikali maabara...😕Naibu Rais Daud Bashite katumwa na mtukufu awatangazie corona hakuna ndiyo maana barakoa sasa zinavaliwa hovyo hovyo mara kwenye koo mara chini ya pua, wauza chips wauza matunda wauza mazio wote hawana barakoa CCM wameamua kuachia ili watu waambukizane wafe kwa wingi wapate kisingizio cha kuahirisha uchaguzi mkuu
Fikiria nje ya box, critically and objectively without biasUnajishushia credibility yako mkuu
Au Modds mnasemaje?
Na shule zifunguliweFikiria nje ya box, critically and objectively without bias