Kumbuka wewe ni banadamu sio robot, watu wanapuuzia kuvaa kondom, nini kushika pua. Mask tuvae na gloves tuvae
Gloves kama unatumia kushika sehemu chafu ni vizuri kuzitupa na kuosha mikono na sabuni kulikoni kutembea nazo siku nzema kwani utaongeza usambazaji wa vijidudu.

Ni muhimu kuosha mikono mara kwa mara au kutumia sanitizer kuliko kutembea na gloves siku nzima.
 
Kumekuwa na unyanyapaaji mkubwa sana unaofanywa dhidi ya watu waliopona ugonjwa wa corona.

Hali hii inasababishwa na jamii kuwa na ufahamu mdogo dhidi ya ugonjwa huu. Baadhi wa waliopona nimeshuhudia wakipelekwa kituo cha polisi na wananchi. Wananchi wanadai watu hao bado wana ugonjwa wa corona.

Unyanyapaaji huu ni kama ule ambao Wachina wanawafanyia Waafrika nchini mwao.

Maxence Melo Naomba ujumbe ufike kwa wahusika
 
Hizo barakoa zipo za kumpa kila mtu?
Sheria unayotaka itekelezwe pekee bila upatikanaji wa barakoa bure kwa watu wote itakuwa na maana gani?



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndio mnaanza kuiona corona? Bado.
 
Umerogwa wewe
 
Sawa mimi nimenawa, je wenzangu wote watakaopanda bodaboda itakayonipeleka kazini nao watakuwa wamenawa? Vp wakiacha korona kwenye kiti cha abiria baada ya kushika bomba wakati wa safari?
Usinawe ishi upendavyo
 
Sawa mimi nimenawa, je wenzangu wote watakaopanda bodaboda itakayonipeleka kazini nao watakuwa wamenawa? Vp wakiacha korona kwenye kiti cha abiria baada ya kushika bomba wakati wa safari?
Usinawe ishi upendavyo
 
 
Hizo barakoa za vitambaa na kufua zikoje Mkuu? Unajua kirusi anakaa kwa muda gani kwenye nguo?
 
Tatizo watanzania ni wabishi na tunajifanya wajuaji. Naunga mkono hoja, tumechagua njia yetu ya kupambana na korona basi tuiimarishe Ili kukabiliana na upungufu wa mask (barakoa) wizara ya afya itoe muongozo wa mask za namna hii kama ikionekana zinaweza kufaa - JamiiForums
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…