Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Cheua sumu mkuu,imejaa sana kifuani kifuani kwakoAsante boss, Kuna watu wengine Ni Kama Wametumwa na Shetani au wana asili ya uchawi.. yaan watu bado wanawaza Kama Korona itawaacha salama Mwingine anaamka na hypothesis zake Sijui ili iweje... We have enough problems already, hebu kaa na speculations zako kwanza utatukumbusha badae
Nahisi sababu ni kuzuia maambukizihivi ni kwa nin hawaruhusu ndugu kukuzika?
Maiti bado anakuwa contagious. Wanaogopa maambukizi.hivi ni kwa nin hawaruhusu ndugu kukuzika?
Hasta la vista *Kufa ni kufa, hakuna kifo cha kishujaa wala kiboya, you are no more, utawekwa six feet under, Astalavista
Kufa ni kufa, hakuna kifo cha kishujaa wala kiboya, you are no more, utawekwa six feet under, Astalavista
Noted n correctedHasta la vista *
Yah!naelewa lakini ni vema mwili wangu ukapata heshima za mwisho mkuu.Kufa ni kufa, hakuna kifo cha kishujaa wala kiboya, you are no more, utawekwa six feet under, Hasta la vista
Ndio ujikinge sasa na magonjwa ya design hiyoYah!naelewa lakini ni vema mwili wangu ukapata heshima za mwisho mkuu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kifahari umesema wewe..kwani maiti akizikwa kifahari anapata faida gani
Yah!naelewa lakini ni vema mwili wangu ukapata heshima za mwisho mkuu.
Sent using Jamii Forums mobile app
kwani akizikwa vipi ndio unakatazwa kumuombea hayo maombiKifahari umesema wewe..
Ila marehemu akizikwa kwa heshima si kuna yale maombi? Pengine yatasaidia kitu huko kwa sir God
Akizikwa na jiji utamuaga vipi?kwani akizikwa vp ndio unakatazwa kumuombea hayo maombi