Elice Elly
JF-Expert Member
- Dec 9, 2018
- 1,267
- 1,593
Wakati tukiwa katika vita Kali dhidi ya gonjwa hili la corona, ingekuwa busara Kubwa sana kwa serikali kuondoa gharama za malipo ya Maji kwa kila RAIA wa nchi hii,na gharama hizo zilipwe kupitia hela za misaada tunazopewa toka kwa watu mbali mbali wanaochngia kwaajili ya vita hii.
Nimelazimika kuishauri serikali kwasababu watu wengi wanashindwa kumudu kulipa bili za Maji na mwisho wake wnakatiwa Maji. Nimeona hili katika mji wa Iringa watu wanakatiwa Maji sababu hawajalipa bili.
Katika kipindi hiki ambacho watu wanasisitizwa kunawa Mara kwa Maria, watawezaje kunawa iwapo wakati mwingine wanakosa hata Maji ya kunywa? Serikali naomba ilitafakari hili kwa kina vinginevyo watu wetu wengi wataangamia.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimelazimika kuishauri serikali kwasababu watu wengi wanashindwa kumudu kulipa bili za Maji na mwisho wake wnakatiwa Maji. Nimeona hili katika mji wa Iringa watu wanakatiwa Maji sababu hawajalipa bili.
Katika kipindi hiki ambacho watu wanasisitizwa kunawa Mara kwa Maria, watawezaje kunawa iwapo wakati mwingine wanakosa hata Maji ya kunywa? Serikali naomba ilitafakari hili kwa kina vinginevyo watu wetu wengi wataangamia.
Sent using Jamii Forums mobile app