#COVID19 Mtazamo, Maoni, Ushauri na Mapendekezo kwa Serikali na Wananchi kuhusu Ugonjwa wa Corona - COVID-19
Kwakweli inasikitisha, niliskia redioni ndugu wa marehemu mmoja wa Covid 19, wakilalamika jinsi ndugu yao alivozikwa wakishuhudia akitupwa tu kaburini kama nini vile, wakawa wanaomba ikiwezekana afukuliwe azikiwe tena kwa heshima ,i felt them lakini lengo hasa ni kuepusha maambukizi zaidi.

Eeh Mungu tuepushie maradhi haya yanafanya tunanyanyapaana😪😪
 
Concept hapa siyo kifo,ila baada ya kifo how your dead body will be handled. Well, it doesnt matter
 
Yaani unaona ufahari kuzikwa kifahari wqkati hata ukiachwa hapo ukaoza hujui na unaweza ukaambiwa tumekuzikwa ndani ya BMW

waislam wanasema usipoenda msikitini wima utaenda ukiwa Horizontal
 
Italy wana mashine moja kama zile za airport za kufungia masanduku au kwenye warehouses zina shrink wrap
Yaani maiti inawekwa hapo mashine inazungusha mwili sekunde chache unakuwa kama Egyptian mummy
Hapa [emoji636] mtu akizidiwa akaenda hospital hakuna ndugu wala jamaa wanaruhusiwa kama kuagana kwa mwisho utapigiwa video call na utamuona kwa mara ya mwisho
Hutamuona tena mpendwa wako

Kama ni maziko watakuwa wawili tu tena kwa kuvaa kama forensic detectives
Jamani huu ugonjwa aidha ni hatari zaidi au hatujauelewa ndio maana hawataki kujaribu risk
Mungu atusaidie


Sent from my iPhone using Tapatalk
 
Ukifa umekufa tu, hizo heshima za mwisho zinamsaidia nini marehemu?
Ni kweli hazimsaidii chochote yeye keshajiondokea, ila ni ile kiubinadamu tu nduguzo hamna kukuona hata kwa mara mwisho wala kukusogelea, utupwe tu huko kaburini😪
 
Yah!naelewa lakini ni vema mwili wangu ukapata heshima za mwisho mkuu.

Sent using Jamii Forums mobile app

Mwili hauna heshima as long as utaenda kuoza ardhini. Na mara ukifa tu, ni katika kipindi kichache sana unasahaulika mpaka na watoto wako: it is the truth take it easy!

If you knew how dead people feel, you would have wished to die now now. It is our ignorance that hinder the truth.

Imagine the day of your death, just keep imagining, keep imagine,.....

now they are taking you for the burial..... imagine you, it is your last chance to live on earth, you will never come back man.

you will rotten on earth, you will become warms food, the worms will eat the flesh of yours to the bones, you remain skeletons, skeleton decays, woow!

How do you feel man? Everything that you thought you are (were) have been decayed and rotten to the bones;

THEN WHO Are you ?

What is you ? What are you really doing here on earth? Forget about the fantasy that you have come to worshiping; NO THAT IS NOT man!

That is what they are telling you, because their forefathers told them so! But the truth is, think about your self using your own mind,

what are you doing here on this planet.?

And then, death is the truth to bring you to where you come from, the place of infinity where everything is as good as ...... think!

You are such a wonderful creature; knowing that you will die; is a blessing that differentiates us from animals.

Animals just die: but we humans hold the thoughts of death from the very beginning of our childhood......... such a blessing.... woow


Nothing is as good as death,


Better live your life; be you !


Mk54
 
Mwili hauna heshima as long as utaenda kuoza ardhini. Na mara ukifa tu, ni katika kipindi kichache sana unasahaulika mpaka na watoto wako: it is the truth take it easy!

If you knew how dead people feel, you would have wished to die now now. It is our ignorance that hinder the truth.

Imagine the day of your death, just keep imagining, keep imagine,.....

now they are taking you for the burial..... imagine you, it is your last chance to live on earth, you will never come back man.

you will rotten on earth, you will become warms food, the worms will eat the flesh of yours to the bones, you remain skeletons, skeleton decays, woow!

How do you feel man? Everything that you thought you are (were) have been decayed and rotten to the bones;

THEN WHO Are you ?

What is you ? What are you really doing here on earth? Forget about the fantasy that you have come to worshiping; NO THAT IS NOT man!

That is what they are telling you, because their forefathers told them so! But the truth is, think about your self using your own mind,

what are you doing here on this planet.?

And then, death is the truth to bring you to where you come from, the place of infinity where everything is as good as ...... think!

You are such a wonderful creature; knowing that you will die; is a blessing that differentiates us from animals.

Animals just die: but we humans hold the thoughts of death from the very beginning of our childhood......... such a blessing.... woow


Nothing is as good as death,


Better live your life; be you !


Mk54
Mkuu unatutisha na mashairi yako haya!!?
 
Habarini za jioni?
Tuendelee kufata taratibu sahihi zilizowekwa na wizara ya afya.

Kiukweli kifo cha corona ni cha dhihaka kabisa.Kama utakufa na corona (sikuombei)basi jua ni kifo cha ovyo sana.

Maiti yako itatengwa kama mdudu na hutapata heshima zote.
Ndugu zako hawatapata nafasi ya kutoa heshima za mwisho wala kukuona tena.

Inawezekana usiswaliwe udumbukizwe shimoni kama mzoga na kufukiwa.

Siku za nyuma kidogo niliangalia kipande cha video jinsi Itali watu wanavyomwagwa kwenye shimo dah!inasikitisha.

Pia nimeona kipande cha video huko twitter kikionyesha maiti ya mtu aliefariki na corona wakidai ni mwananyamala. aisee ni hatari kwa kweli.nimeweka link

Aisee Mungu atujalie mwisho mwema na
tuendelee kuchukua hatua sahihi kujilinda na kuwalinda tuwapendao.

Na kuongezea hapo yani ukifa msimu huu wa Covid-19 hata kama hujafa kwa Corona unazikwa kibabe tu chap chap na watu wanne au watano basi.
Huyu Corona aende zake tu kwa kweli
 
Kwa sasa nafikiri ni maiti zote haziruhusiwi kuzikwa na watu zaidi ya 10 sababu ya maambikizi...

Naomba nikosolewe kama siko sahihi!!
 
Kifo ni kifo tu haijalishi Corona, Kansa, Ukimwi ama ajali. Vp wale wahanga wa ndege ya Malaysia waliopotea baharini?! Cha msingi ni kutengeneza mahusiano yako na Muumba ili siku yako itakapofika uwe tayari.
 
Kwa sasa nafikiri ni maiti zote haziruhusiwi kuzikwa na watu zaidi ya 10 sababu ya maambikizi...

Naomba nikosolewe kama siko sahihi!!

Ni ruksa kufikiri, nani basi akosoe fikira zako.?
 
Back
Top Bottom