Tangazo la dawa ya rungu hujawaikulisikia mikwara yake?

"Tumeamua kutangaza vita dhidi ya wadudu warukao na watambaao, pulizia kidogo tu uone jinsi itakavyo waangamiza kuanzia mende, kunguni, sismizi siafu nk"

Lakini hiyo hiyo rungu kwa kunguni inasanda
 
Hao waliokufundisha Natural Selection ya Charles Darwin ndio haohao wanakuambia uchukue tahadhari. Wewe na wao nani anajua zaidi?
+1
Asichofahamu ni kuwa hata hizo principles anazozijua nyingi zinakuwa challenged na kisayansi ya sasa .na baadhi zinaonekana kupwaya.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tunapambana na Corona, kalipoanza ndio kalikuwa ka Corona sasa ni Corona, tuwasikilize viongozi wetu kwa kutekeleza kila maelekezo tunayopewa.
Tufuate maelekezo ya kitaalamu ya jinsi ya kujikinga lakini pia tuongezee na tiba asili na tiba mbadala.
P
Nani mkweli sasa, wanaotuambia tuchape kazi tusiogope, au wanaotuambia tusiende kwenye mikusanyiko?! Wanaotuambia tushone Barakoa za khanga au wanaotuambia hazitusaidii chochote kutukinga kwa virus vya Corona? Nimeona Tweet ya Dr.Ndugulile akisema Mapua hayastahimili joto lakini Rais kasema tujifukizie dawa za asili?
Nimeona Dr.Mabula kateuliwa kuwa katibu mkuu, nilidhani Dr.Ndugulile kastaafu au kastaafishwa kumbe bado.
 
COVID-19 ipo ndio maana tunaambiwa tuchukue thadhari.

Anatuambia tusipeane hofu kwa kuwa watu wanaukuza sana huu ugonjwa.
Watu gani wanaukuza zaidi yao, wao ndio hutupa taarifa zote nasisi tunazifuata. Kuna hofu zaidi ya KUFUNGA vyuo vyote na shule zote?

Wao ndio wanaeneza hofu, Niliuliza humu kunafaida gani kuambiwa idadi ya watu waliokufa?

Nilidhani ni kutia HOFU umma ili waelewe kwamba ugonjwa upo na unaua kweli, ili wafuate maelekezo ya wataalamu wa Afya?

Kama hiyo haikuwa sababu then nini maana ya kutpa takwimu za wagonjwa waliopo na waliokufa kwa haka ka Corona.
 
Covid19 sio Hiv Mkuu.
 
Miujiza baada ya maombi.. Wengine wamejivukiza mvuke wa mitishamba.. Hata mimi pia nimefanya hivyo

Jr[emoji769]
 
Mingine ni ile ya Roast ham imepigwa vijembe vibaya mno.. Msaada unaopokelewa ni mmoja tuu.. SHEKELI

Jr[emoji769]
 
Locking down people causes stress,

naturally the body is effectively adapted to controll/mediate stress by producing cortiso hormon from the adrenal glands.

It's unfortunate that the hormon lowers immunity.
Kwahio ni hatari Kwa mtu aliekua under lock down ikitokea Ka contract Covid19.
 
Dunia nzima ma Rais wanakutana na wataalam wa Uchumi na Wahudumu wa Afya kujadili vita ya Corona

Tanzania sie tunakusanya Majeshi ya Ulinzi na Usalama kujadili Corona bila ya Wachumi wala Madaktar

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna Daktar Mtanzania anaeishi Ubeberuni Uingereza alihojiwa na Salim Kikeke alipona corona, yeye alipiga Mixer, dawa na Mzungu na za kina kinjekitilengwale
Sent using Jamii Forums mobile app
 
A form 4 evolution lesson!
 
Chakaza
Hao wakuu wa ulinzi na usalama wanasikiliza hotuba ya Jiwe, kama vile wanasikiliza taarifa ya habari kwenye Radio?

Hapo umeua Mkuu
 
Illusion plus Hallucination.

Seek for a psychologist.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…