Hilo halijabadili sayansi hata kidogo, pamoja na kwamba halikuwa lengo la yaliyoandikwa hapo na wewe kuyaparamia tu bila kujua.Jamii zinatofautiana kutoka nchi moja hadi nyingine, asilimia 99% ya wagonjwa wa COVID-19 kwa Africa ni vijana wa mikoa kuania 15 mpaka 45. Tofauti na wenzetu wa Ulaya na Asia ambao ni 95% ni wazee kuanzia umri wa 65 mpaka 100. Matibabu yanaweza kuwa tofauti maana vijana wengi wanapona huu ugonjwa bila dawa au matibabu ya aina yoyote.
Nimecheka sanaBoss kubwa kasema barakoa zinaweza kuchangia kuongeza corona...sana sana labda waweke sehemu maalum za kufukiza kabla hujapata huduma...sasa hivi kila mtu kaufyata wanatetea vibarua vyao
Boss kubwa kasema barakoa zinaweza kuchangia kuongeza corona...sana sana labda waweke sehemu maalum za kufukiza kabla hujapata huduma...sasa hivi kila mtu kaufyata wanatetea vibarua vyao
Du iyo mialovera ungetoa wapi kutosha nchi nzima hata kwa siku 1?ningewanywesha miarobaini na aloe Vera watanzania wote.
TENA INGEKUWA SHERIA.
asubuhi, mchana na usiku.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe unasifa za kuwa Rais. Kama unazo ungefanya nn?Kwani kuna wenye sifa sasa za kuwa Raisi hapa mkuu!!
Wengi Wao ni fuata upepo Tu, na nilivyogundua wengi Wao, wanaweza kuwa, lakini wakawa under Control Kwa sababu hawajiamini
Kila kitu watategemea mzungu kashauri nini ndio wafanye, vitu vingi vitafanyika vile ambavyo wazungu wamesema!!
In Africa even idiots can be presidents!Kwani kuna wenye sifa sasa za kuwa Raisi hapa mkuu!!
Wengi Wao ni fuata upepo Tu, na nilivyogundua wengi Wao, wanaweza kuwa, lakini wakawa under Control Kwa sababu hawajiamini
Kila kitu watategemea mzungu kashauri nini ndio wafanye, vitu vingi vitafanyika vile ambavyo wazungu wamesema!!
Mheshimiwa waziri, kwanini hadi sasa hakuna tamko linalowalazimisha wahudumu kwenye sehemu mbalimbali (migahawa, bar, hoteli, mama ntile, saloon nk) kuvaa barakoa?
Hawa watu watachangia sana kuambukiza corona. Hebu fikiria, wanahudumia watu wangapi kwa siku? Huwezi kumzuia asishike chupa yako au sahani yako ya wali.
Saa zote wanacheka na kuongea midomo iko wazi na mvua yakutosha. Mmeshindwa kuzuia hizi huduma, ziwekeeni sheria ndogondogo kutunusuru.
exactly!