Huhitaji kuwa na PHD kujua kama kujiuzulu pasipo na kosa humfikirisha sana boss wako. Je, mkiachia ngazi wawili au watatu hawezi jiuliza??
Kugawa vifaa vya kujikinga madakta utasema umezuiwa!
kutangaza cases utasema umezuiwa!
kucheka wakati unatangaza issue za kusikitisha utasema umeambiwa!
Je, kujiuzulu pia umezuiwa!
Kugawa vifaa vya kujikinga madakta utasema umezuiwa!
kutangaza cases utasema umezuiwa!
kucheka wakati unatangaza issue za kusikitisha utasema umeambiwa!
Je, kujiuzulu pia umezuiwa!