NG'OTIMBEBEDZU
JF-Expert Member
- Aug 11, 2010
- 1,180
- 595
Nasal secretions/droplets - matone kutoka ndani ya pua ambapo huingizwa pamba stick safi ndani ya pua na kutoa sampuli
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nasal secretions/droplets - matone kutoka ndani ya pua ambapo huingizwa pamba stick safi ndani ya pua na kutoa sampuli
Huenda lilichomwa kwa maelekezo yake kuonesha chuki dhidi ya dawa za kitaalamu.Unganisha hotuba yake na kuchomwa, kwa ghala la vifaa tiba kule Temeke.. Kuna kitu kinaendelea sio bure
We kama unajua sana kumzidi mkuu wa nchi basi fanya kinyume.RAIS ANA MASHAKA NA BARAKOA, ANA MASHAKA NA UPULIZIAJI WA DAWA, YANA KWA UJUMLA ANA MASHAKA NA MBINU ZA SERIKALI ZA KUPAMBANA NA CORONA
Walikuwa na sura zenye huzuni na unyonge sana. Kama si njaa na kuogopa kutekwa wangejiuzuru.Nimeangalia sura za wale viongozi wa ulinzi na usalama na kuona hali ya kukata tamaa na hizi confusion zinazo endelea.
Hivi na wao hawana jibu, ushauri au mapendekezo bali huwa wanaitwa tuu kusikiliza kama wanasikiliza Radio?
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwahiyo makosa ni ya TBS, wamepokea mizigo kutoka nje bila kuipima?Hotuba ilikuwa nzuri ila ukiwa na chuki huwezi kumuelewa raisi kwa sababu ya chuki tulizonazo,kuhusu barakoa zinazotoka nje kuwa na virus,si Tanzania tu..hilo hata mataifa ya nje yamewahi kulalamika hadi kufikia hatua ya kuamua kujitengenezea vifaa vyao binafsi...sisi tutakufa kutokana na chuki yetu kwa raisi na serikali kwa ujumla...binafsi siwezi napinga ufanyanyi wa test na kutumia barakoa kutoka nje,yaani ni mara kumi niende kwa fundi juma anishonee ya kitenge
Acha kupotosha wewe....Kwahiyo yakipata moto 100cc basi unayapoza kwanza alafu ndiyo unajifunika?Raisi yuko sawa sana, hizo barakoa wengi tu tulitilia mashaka toka mwanzo, na huo mvuke hajasema ukiwa wa moto hivo watanzania tuache mambo ya kujua sana, maji yanapata moto na kuua vidudu yakifikia nyuzi joto Mia moja, Sasa hapo yapo tayar kutumika, tumuamini raisi wetu hizo taarifa wa chini yake ndio wanamfikishia wako na ujuzi mwingi kuliko wengi wetu humu ndani ambao tunaendeshwa na mihemko
Sent using Jamii Forums mobile app
Unafafikiri kwanini tuna chuki?Tatizo wabongo tuko na chuki na mheshimiwa,hilo ndo litakalotu-cost
Kwahiyo wamemsaliti PM? acha Kusikiliza story za vijewe vya kahawa chatoMakonda Dada Ummy vinara wa barakoa halafu wenyewe hawavai, hamjiulizi?
Wazo zuri lakini sidhani kama mzee wa kikombe anasikiliza mtu saa hizi amejichimbia kwao, anaamini katika social distancing lakini haruhusu ifanyike.Kutokana na maelekezo ya jana, nahisi kuna umuhimu tukapata watumishi wa afya wa kutosha hata kwa mkataba ili kukabili upungufu wa watumishi hiki kipindi ambacho tunahangaika kujenga nchi na tukiwa tuna hili janga.
Wahitimu wa kada za afya waliopo akiba waingize kwenye mapambano ili kujiimalisha tusisubiri kujiuliza