Wilbert255
Member
- Apr 15, 2020
- 27
- 28
Habari wakuu!!, covid-19 ni hatari kwa afya zetu, tujitahidi kuzingatia kanuni za afya.
Moja kwa moja kwenye Mada.
Kwa wanachuo tulio kuwa tunategemea boom na tumepanga magetoni (chumba), nakodi zimekata, mtaani hakusomeki (sio wote).
Tuombe Mungu corona iishe turudi chuo maisha yaendelee. Wenye Nyumba hebu kuweni na subira corona ikiisha tutawapa pesa zenu.
Moja kwa moja kwenye Mada.
Kwa wanachuo tulio kuwa tunategemea boom na tumepanga magetoni (chumba), nakodi zimekata, mtaani hakusomeki (sio wote).
Tuombe Mungu corona iishe turudi chuo maisha yaendelee. Wenye Nyumba hebu kuweni na subira corona ikiisha tutawapa pesa zenu.