kwenda21
JF-Expert Member
- Mar 11, 2014
- 3,423
- 3,414
Mitaani kuna mtindo Wa watu kwenda kuchota maji kwenye koki moja nafikiri mmeshanielewa je haikuwa busara kwa kwenye mabomba mitaani kuweka sabuni kabla MTU hajagusa koki?koki zioshwe ziwe safi,maana utakuta Bomba moja wanachota nyumba karibu ilishiriki,ushauri tu ,
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app