OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Pamoja na kutotangazwa rasmi kwa sababu za kifo cha Mh.Ndasa,maelezo ya watu wake wa karibu ikiwemo Ezekiel Kimwaga yanaonyesha alipatwa na changamoto ya kupumua. Zaidi pia spika amewahi kutangaza kuhusu mbunge kupatwa na maambukizi ya corona.
Kwa sababu hizo ukizingatia kusambaa kwa kasi kwa maambukizi ya corona,hamuoni haja ya kuahirisha bunge na kujipiga karantini? Mbunge Mh.Nkamia ametoa maoni kama haya ili kunusuru afya ya wabunge na kudhibiti maambukizi. Ni vyema mkachukua hatua.
Tumesikia kuwa mwezi May mmepanga kuitisha kamati za bunge kwa kuita idara mbalimbali za serikali kuja kujibu repoti za Mkaguzi Mkuu-CAG. Huu ni wakati wa kutangaza kufutwa kwa vikao hivyo vya kamati.
Maisha ya watu ni muhimu sana kuliko vikao hivyo.
Kwa sababu hizo ukizingatia kusambaa kwa kasi kwa maambukizi ya corona,hamuoni haja ya kuahirisha bunge na kujipiga karantini? Mbunge Mh.Nkamia ametoa maoni kama haya ili kunusuru afya ya wabunge na kudhibiti maambukizi. Ni vyema mkachukua hatua.
Tumesikia kuwa mwezi May mmepanga kuitisha kamati za bunge kwa kuita idara mbalimbali za serikali kuja kujibu repoti za Mkaguzi Mkuu-CAG. Huu ni wakati wa kutangaza kufutwa kwa vikao hivyo vya kamati.
Maisha ya watu ni muhimu sana kuliko vikao hivyo.