big-diamond
JF-Expert Member
- May 23, 2009
- 422
- 555
Ungeona wanachofanyiwa wagonjwa wa magonjwa mengine pindi wanapoenda kwenye mahospitali esp ikiwa ni serious case wala usingesema hivyo.
Tulienda Muhimbili wakatukataa, wakatu refer Temeke, nao wakatukataa, wakatu refer Kimara,
Mgonjwa akafia mlangoni mwa Hospitali Kimara.
Wapo wanaoongea kishabiki, lakini kwa tuliopoteza wapendwa wetu tuna machungu mengi na tuna machungu na wengi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Tulienda Muhimbili wakatukataa, wakatu refer Temeke, nao wakatukataa, wakatu refer Kimara,
Mgonjwa akafia mlangoni mwa Hospitali Kimara.
Wapo wanaoongea kishabiki, lakini kwa tuliopoteza wapendwa wetu tuna machungu mengi na tuna machungu na wengi.
Sent using Jamii Forums mobile app