#COVID19 Mtazamo, Maoni, Ushauri na Mapendekezo kwa Serikali na Wananchi kuhusu Ugonjwa wa Corona - COVID-19
Hili swali anaweza tu akalijibu mwana wa mfalme. Maana anacho kiamini yeye ni kile anacho kiwaza, lakini hawezi kuwaza kile anacho kiamimi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkolomije katangaza.....unampinga??🙂

Everyday is Saturday.........................😎
 
Corona ni mafua tu Sema kuna watu walijazwa uwoga na media za Mabeberu
Mwambie bwana wako aache kujificha. Leo siku ya 50 kajificha Chattle.
tapatalk_1589575901484.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ukiisikiliza serekali unaona corona imeisha ukiingia page ya mange/kigogo/coronavirus Tanzania unajikuta akili inarudi unakumbuka kuchukua Tahadhari.
Kuna Tanzania mbili,Ile ya mitandaoni na hii halisi sasa hapo inabidi Halmashauri yako ya kichwa ifanye kazi Kweli kweli.
 
Wachache waliofariki walikuwa na magonjwa nyemelezi mda mrefu
Kwahiyo Mafua yanauwa wenye magonjwa nyemelezi? Walikuwepo wanaosema kama wewe Leo hata kuingiza kitu kinywani wanashindwa usimeze ujinga utakuwa mjinga na utakufa kijinga, huyo aliyekuaminisha kakimbia mji, mwambie arudi maana ni Mafua!
 
Hivi sasa watu wengi wameacha kuvaa barakoa, wanashikana miili na wachache wanaweka maji ya kuosha mikono. Harakati za jiji zimerudi kama ilivyokuwa mwaka jana na hii ni baada ya kusikia kauli za viongozi zikiashiria hakuna maambukizi mapya wala vifo. Tanzania tumefanikiwa kuishinda Corona ndani ya muda mfupi sana, hii ni rekodi nzuri na inabidi tuwapongeze viongozi wetu. Nikiangalia mitaani kwangu watu wameisahau Corona ndani ya siku chache na maisha yamerudi kama zamani.
Swali, nani ametangaza kuwa Corona imekwisha?
Naibu Rais Daud Bashite wameachia watu waache kunawa mikono wakae vijiweni vibarazani makanisani misikitini misibani waambukizane kwa wingi wafe kwa wingi ili wapate kisingizio cha kuahirisha uchaguzi mkuu
 
Back
Top Bottom