Mashamba Makubwa Nalima
JF-Expert Member
- Mar 19, 2024
- 4,978
- 2,411
Hongera sana mkuuMwanangu ana soma kayumba na kapata ufaulu wa grade A
KINACHO NISHANGAZA MWANANGU ANA UWEZO WA AKILI UNAO STAAJABISHAA.
NAWEKA NA MATOKEO YAKE HAPA CHINI.
View attachment 3193004
View attachment 3193008
FROM KAYUMBA.
Elimu nzuri ni gharama
Watoto wengi tu wamebamiza A za flat. Kuna shile inaitwa mlimani hapo mchepuo wa kiswahili ila wana watoto 33, wenye A flat ni kama 9. Wengine ni A nyingi na B chacheWakuu this is the first time nashuhudia kijana wa kaka yangu anafanya maajabu kama haya.
Kiufupi nimefurahi sana huyu angekuwa st kayumba sijui kama angepata hata A moja
Elimu nzuri ni gharama wakuu.
Kila mwaka inatoka mil 5 Ila matunda ni mazuri.
Ukiachana na hilo anaongea kiingereza Kama kiswahili.
Anajiamini
Anachambua mambo makubwa politics ,n.k
Elimu nzuri ni gharama.
Unaongea usiyoyafahamu.Mzazi mwenye uwezo wa kulipa mamilioni mtoto asome jua hata mwanae atapita kwenye connection za mzazi wake kuajiriwa au kujiajiri. Kurudi mtaani kuwa jobless ni ngumu.
Haya ni maneno ya mkosaji tu maana ni kinyume na mambo kwa groundWanafunzi wa private wanaufaulu mkubwa kwenye makaratasi lakini sio technical
Elimu gani hiyo mtoto anarudi kuwa omba omba mtaani!!
Hakika maneno ya mkosajiHaya ni maneno ya mkosaji tu maana ni kinyume na mambo kwa ground
Kutumia ID feki kusikupe uhalali wa kuona watu hawajui wanachokisema.Unaongea usiyoyafahamu.
Ujue unachekesha
Unadhani huyo kijan anayelipiwa mil 5 atakuwa na mindset Kama za mtu anayesoma dumu fagioElim mbovu isiyona future ni mzigo Kwa taifa hata update A zote in ujinga tu mkuu!
Kwahiyo atajiajiri kwenye nini kama Hamna ajira!!?Mtu alimpie mtoto mil 5 Kwa mwaka then aje awe omba omba ?
Sahau kabisa kuhusu hilo
Sema kwanyinyi wa kishua sahihi tu!!Mtu alimpie mtoto mil 5 Kwa mwaka then aje awe omba omba ?
Sahau kabisa kuhusu hilo
InasikitishaKizazi kingine cha Manamba Kinachogharamikiwa..
Much π appreciation π Kwako... wewe ni mtu mzuri.Oh..... Basi mtengenezee mazingira mazuri ya kuzifikia ndoto zake kwa urahisi bravo!
Mtoto kuwa wa single sio tatizo coz nina aunties zangu wawili ni single mom wanae wote wapo chuo wanazisaka degree.... Nina mwingine mwanae kavuka mpaka boarder kuisaka elimu.....
Kibaya kwa single mom ni kuwajaza maneno hasi watoto kuhusu baba zao au upande wa wenza wao.... Na wao single mom wali divorce sio kuzalishwa home japo wata fall kwenye category hiyo......
single mom wajenge uhusiano mzurii wa mtoto/watoto na upande wa mwenzake awe ni daraja asiwe ukuta.....
Hii inajenga bond nzuri.....
Hongera kwa mwanao.... inatia moyo kumwona mtoto akifanya mambo kadhaa.....
Sijifii lakini nakumbuka nilikuwa napata kipaimara ile askofu kasema fungua kitabu flani (sikumbuk) nikawa sharp nishafungua ......
Akasema aliepata aje.....
Mwamba Mimi Tena π..... Nafika mbele....
Nasoma mstari tuu mzee wangu kainuka kuona ni mimi..... Alinambia how he feeling...... plus watu wanaonijua
Hujaja school sitaki kusema....... Ila mtoto akiwa na nidhamu, mtiifu, anafaulu oyaah wazazi wanafurahi sana.....
Mpe dogo maua yangu......
Sahau kabisa omba omba ni mindsetSema kwanyinyi wa kishua sahihi tu!!
Much π appreciation π Kwako... wewe ni mtu mzuri.