Mtwara: Wanaume walalamika kurukishwa kichurachura ili wapewe tendo la ndoa

Mtwara: Wanaume walalamika kurukishwa kichurachura ili wapewe tendo la ndoa

MFALME WETU

JF-Expert Member
Joined
Feb 1, 2021
Posts
4,071
Reaction score
10,028
WANAUME WALALAMIKA KURUKISHWA KICHURA CHURA ILI WAPEWE TENDO LA NDOA

Baadhi ya wanaume wamelalamikia kunyanyaswa na wake zao kwa kupewa unyumba kwa masharti ikiwemo kuwataka kuruka kichura-chura kuzunguka kitanda ili kupewa haki Yao hiyo.

Hayo yameelezwa na Mwenyekiti wa Mtaa wa Namkuku halmashauri ya Wilaya ya Nanyamba mkoani Mtwara, Andrew Mathew akichangia mada ya unyanyasaji wa kijinsia katika mafunzo yanayoendelea mjini Nanyanba.

Source Wasafi Digital
 
Baada ya maisha kuwa magumu wanawake wamutugeuza wanaume fursaa[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28].

Nac tunawaburuzaa km gari bovuu
can't Imagine huo moto baada ya kurukishwa iko kichurachura 😅😅

Mwanamke hatakiwi kujua udhaifu wako
 
Aaaah Mufindi baaba.
FB_IMG_16883372138937102.jpg
 
Back
Top Bottom