Continental Ground
JF-Expert Member
- Jun 16, 2016
- 1,907
- 3,895
Dah mwanaume kabisa aliyekamilika anafanyiwa hivyo na mke wake ...dah
Ngoja tu nikae kimya .
Ngoja tu nikae kimya .
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hiki kitu kinawezekana kweli? hawa wanaume hawako serious kabisa haiwezekani nasema haiwezekani mwanamke kukuifanyia kitu kama hicho ukakubali na wewe unaanza kurukaruka kweli ili upewe mbususuWANAUME WALALAMIKA KURUKISHWA KICHURA CHURA ILI WAPEWE TENDO LA NDOA
Baadhi ya wanaume wamelalamikia kunyanyaswa na wake zao kwa kupewa unyumba kwa masharti ikiwemo kuwataka kuruka kichura-chura kuzunguka kitanda ili kupewa haki Yao hiyo.
Hayo yameelezwa na Mwenyekiti wa Mtaa wa Namkuku halmashauri ya Wilaya ya Nanyamba mkoani Mtwara, Andrew Mathew akichangia mada ya unyanyasaji wa kijinsia katika mafunzo yanayoendelea mjini Nanyanba.
Source Wasafi Digital
Kifupi cha "Mume wako"Mumewo ndio nini
Tatizo siku hizi Wanawake mnamiliki mashine nyingi sana hadi zinawashinda kuzisafisha, Vikoba vitawauwa msipojirekebisha!!Hizo mashine zinachosha sana, kuna time tunachukua break
Janjajanja HGL unadunda tu kwenye ardhi ya Mola [emoji23][emoji23][emoji23]Mkaldayo Halafu utakuta hao wanawake wabayaaa.
Maamae sirukishwi kichurachura na demu. I will violently rape her.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]WANAUME WALALAMIKA KURUKISHWA KICHURA CHURA ILI WAPEWE TENDO LA NDOA
Baadhi ya wanaume wamelalamikia kunyanyaswa na wake zao kwa kupewa unyumba kwa masharti ikiwemo kuwataka kuruka kichura-chura kuzunguka kitanda ili kupewa haki Yao hiyo.
Hayo yameelezwa na Mwenyekiti wa Mtaa wa Namkuku halmashauri ya Wilaya ya Nanyamba mkoani Mtwara, Andrew Mathew akichangia mada ya unyanyasaji wa kijinsia katika mafunzo yanayoendelea mjini Nanyanba.
Source Wasafi Digital
Nimecheka balaaa. Yani wewe unanijua kotekote.Janjajanja HGL unadunda tu kwenye ardhi ya Mola [emoji23][emoji23][emoji23]
Si wewe huyo ulisemaga hivi[emoji23][emoji23][emoji23]Nimecheka balaaa. Yani wewe unanijua kotekote.
Nenda kwenye thread ya Baba Swalehe Elias kihombo Tanzania one😆😆😆😆Si wewe huyo ulisemaga hivi[emoji23][emoji23][emoji23]
We jamaa wewe yaani
Kila nikikuona najisikia kucheka
Ngoja nikafukue comment Yako
Naukumbuka vizuri sana maana sijawahi participate kiasi kile kwenye uzi wowote ule humu.Nenda kwenye thread ya Baba Swalehe Elias kihombo Tanzania one[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
Bandari mnajua nyie mafisadi wa bandari huku wananchi hawajui hata bandari ipo mkoa ganiHao madume huko wala hawana habari ya bandari [emoji1]
Wao ni mbunye tu
Ova
Muwe na huruma jaman au mmesahau baba wa taifa alisema watanzania wote ni nduguSasa unakuta mtu kila.akikuona tu anataka 🤔