Mtwara: Wanaume walalamika kurukishwa kichurachura ili wapewe tendo la ndoa

Mtwara: Wanaume walalamika kurukishwa kichurachura ili wapewe tendo la ndoa

Mimi ni MINOCYCLINE "Gifted Intellectually, Knowledgeable, Challenger and Well Informed Person" Kiongozi.
Aha sawa MINOCYCLINE nimekupata mkuu ingawa unafafana na GENTAMYCINE mna undugu?
✍️
 
mwanaume usipojiheshimu ndani ya nyumba lamazima haya yakukute tu hamna namna
 
mwanaume usipojiheshimu ndani ya nyumba lamazima haya yakukute tu hamna namna
 
Sasa unakuta mtu kila.akikuona tu anataka [emoji848]
Kama anataka wwe usichoke kumsafisha, mbona Nyumba mnasafisha kila siku, na wala hamchoki!? Ila mumewo akiwa ana taka hutaki kumsafisha kila siku!!
 
Hao madume huko wala hawana habari ya bandari [emoji1]
Wao ni mbunye tu

Ova
Cha ajabu wao ndo wako na vyanzo vya bandari.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kama anataka wwe usichoke kumsafisha, mbona Nyumba mnasafisha kila siku, na wala hamchoki!? Ila mumewo akiwa ana taka hutaki kumsafisha kila siku!!
Hizo mashine zinachosha sana, kuna time tunachukua break
 
Back
Top Bottom