Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 86,410
- 169,862
Safi sana.Bora unyimwe unyumba kwa kutokuoga, kuna wanawake bila kuoga hupewi unyumba, mwanamke anataka uoge na ufue boksa ukabadilishe ndio upewe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Safi sana.Bora unyimwe unyumba kwa kutokuoga, kuna wanawake bila kuoga hupewi unyumba, mwanamke anataka uoge na ufue boksa ukabadilishe ndio upewe
Tatizo wanawake wa mtwara viuno feni sana hadi unajikuta unatii kila analosema.WANAUME WALALAMIKA KURUKISHWA KICHURA CHURA ILI WAPEWE TENDO LA NDOA
Baadhi ya wanaume wamelalamikia kunyanyaswa na wake zao kwa kupewa unyumba kwa masharti ikiwemo kuwataka kuruka kichura-chura kuzunguka kitanda ili kupewa haki Yao hiyo.
Hayo yameelezwa na Mwenyekiti wa Mtaa wa Namkuku halmashauri ya Wilaya ya Nanyamba mkoani Mtwara, Andrew Mathew akichangia mada ya unyanyasaji wa kijinsia katika mafunzo yanayoendelea mjini Nanyanba.
Source Wasafi Digital
🤣🤣🤣🙌Hao madume huko wala hawana habari ya bandari [emoji1]
Wao ni mbunye tu
Ova
🤣🤣🤣Tulia wewe,tumekuzaa ujue🤒Acha watutese Ni zamu yao kututesa ila itafika wakati utabiri wa Isaiah 4:1 utatimia bila Shaka wanawake wataona Cha Moto Sana.
NakaziaKuna story nyingine ukizisikia kama una akili timamu huwezi kuamini. Ni upuuzi
Unampa upwiru dawa yake ni hioSasa unakuta mtu kila.akikuona tu anataka 🤔