Mtwara: Wanaume walalamika kurukishwa kichurachura ili wapewe tendo la ndoa

Mtwara: Wanaume walalamika kurukishwa kichurachura ili wapewe tendo la ndoa

WANAUME WALALAMIKA KURUKISHWA KICHURA CHURA ILI WAPEWE TENDO LA NDOA

Baadhi ya wanaume wamelalamikia kunyanyaswa na wake zao kwa kupewa unyumba kwa masharti ikiwemo kuwataka kuruka kichura-chura kuzunguka kitanda ili kupewa haki Yao hiyo.

Hayo yameelezwa na Mwenyekiti wa Mtaa wa Namkuku halmashauri ya Wilaya ya Nanyamba mkoani Mtwara, Andrew Mathew akichangia mada ya unyanyasaji wa kijinsia katika mafunzo yanayoendelea mjini Nanyanba.

Source #WasafiDigital


Ndio mmeamua kuja kushtaki na huku
Hicho ni kichurachura, bado tunataka na pushup za keleweka
 
WANAUME WALALAMIKA KURUKISHWA KICHURA CHURA ILI WAPEWE TENDO LA NDOA

Baadhi ya wanaume wamelalamikia kunyanyaswa na wake zao kwa kupewa unyumba kwa masharti ikiwemo kuwataka kuruka kichura-chura kuzunguka kitanda ili kupewa haki Yao hiyo.

Hayo yameelezwa na Mwenyekiti wa Mtaa wa Namkuku halmashauri ya Wilaya ya Nanyamba mkoani Mtwara, Andrew Mathew akichangia mada ya unyanyasaji wa kijinsia katika mafunzo yanayoendelea mjini Nanyanba.

Source Wasafi Digital
Wanaelezea ujinga wao.Stupids!
 
WANAUME WALALAMIKA KURUKISHWA KICHURA CHURA ILI WAPEWE TENDO LA NDOA

Baadhi ya wanaume wamelalamikia kunyanyaswa na wake zao kwa kupewa unyumba kwa masharti ikiwemo kuwataka kuruka kichura-chura kuzunguka kitanda ili kupewa haki Yao hiyo.

Hayo yameelezwa na Mwenyekiti wa Mtaa wa Namkuku halmashauri ya Wilaya ya Nanyamba mkoani Mtwara, Andrew Mathew akichangia mada ya unyanyasaji wa kijinsia katika mafunzo yanayoendelea mjini Nanyanba.

Source Wasafi Digital
Hawana pesa
 
Kuna siku niliingia kwenye 18 za boya mmoja nikajikuta napiga magoti ili nipewe mbususu.
[emoji28][emoji28][emoji28]
 
hii safi sana, maana damu itakuwa imechangamka na mikasi itapigwa vizuri.

tuendelee na mambo yetu ya DP World.
 
Wanaume wa Pwani wanapenda sana kwichy kwichy afu wavivu akili wamewekeza kwenye mizagamuo tu [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
😂😂😂😂😂
Ahsanteni kwa kuibariki 'jeeoni yangu'..!!
1688399904728.jpg

Wacha weeeh.
Karibu Mtwara.
 
Bora unyimwe unyumba kwa kutokuoga, kuna wanawake bila kuoga hupewi unyumba, mwanamke anataka uoge na ufue boksa ukabadilishe ndio upewe
 
Kusema kweli unyumba ni mtamu, ikifika saa ya kuutaka chochote atakachotaka mwanamke utafanya tu bila kujitambua ili tu upewe utamu huo
 
Back
Top Bottom